Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Tatizo la Nchi hii Waandishi wetu hawako inquisitive na analytical ni watu wa mihemuko na kukimbilia matukio tu!
Hili suala la huyu mtu anayedaiwa kutaka kuuza nyumba ya NHC inaripotiwa kizushi sana utadhani watu wote ni wajinga!
Ni hivi, huo ni utaratibu uliozoeleka sana hapa Nchini na unaeleweka kote na siyo NHC tu!
Hata " fremu" za Halmashauri au Manispaa huwa watu wanaachiana kwa kulipana fedha ndefu sana (kati ya milioni 7 hadi milioni 15 ) na hiyo siyo kuuziana umiliki kwa maana ya " title deed transfer"!
Hakuna mtu mjinga tena mpangaji wa NHC anayeweza kuuza kwa ku- transfer title deed ya NHC kwa MTU! Hao NHC waje basi na details za hiyo transaction kwenye public domain tuone kama siyo ukilaza tu!
===
Hili suala la huyu mtu anayedaiwa kutaka kuuza nyumba ya NHC inaripotiwa kizushi sana utadhani watu wote ni wajinga!
Ni hivi, huo ni utaratibu uliozoeleka sana hapa Nchini na unaeleweka kote na siyo NHC tu!
Hata " fremu" za Halmashauri au Manispaa huwa watu wanaachiana kwa kulipana fedha ndefu sana (kati ya milioni 7 hadi milioni 15 ) na hiyo siyo kuuziana umiliki kwa maana ya " title deed transfer"!
Hakuna mtu mjinga tena mpangaji wa NHC anayeweza kuuza kwa ku- transfer title deed ya NHC kwa MTU! Hao NHC waje basi na details za hiyo transaction kwenye public domain tuone kama siyo ukilaza tu!
===
Mpangaji aliyetaka kuuza nyumba ya NHC anaswa