NHC gets $2Billion loan for its new Kawe Satellite City

NHC gets $2Billion loan for its new Kawe Satellite City

NHC ni shirika la serikali ya Tanzania chini ya wizara ya ardhi, kwani hilo deni atalipa Mkenya? Mnajenga nyumba nyingi hivi kwa mkopo mkubwa kiasi hicho halafu ukumbuke Watanzania wengi sio middle-class wenye uwezo wa nyumba kama hizi, wengi wanaishi Manzense n.k.

Wekeza mikopo kwenye miundo mbinu kama reli....

Kwa taarifa yako, serikali huwa inanunua nyumba nyingi za NHC kwa ajili ya watumishi wake.
 
Nafikiri mpaka 2020 ngonjera za nai - Dar zitakua died naturally haha sababu hizi projects sio za Africa
 
Nafikiri mpaka 2020 ngonjera za nai - Dar zitakua died naturally haha sababu hizi projects sio za Africa

Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200

sun0Sgy.jpg
 
Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200

sun0Sgy.jpg
Hiyo Watumishi Housing Corporation tu inaimaliza juu kwa juu
__800x800_57c7b47b6b17f.jpg


Landed Houses – Gezaulole Housing Project

Landed Houses – Gezaulole Housing Project

Gezaulole Housing Project – Construction continues


Gezaulole Housing Project – Construction continues.

 
Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200

sun0Sgy.jpg
Leta source ya information hiyo.
Halafu kumbuka bado hapa Dar kuna kigamboni city ambayo ni mega city. Kigamboni ni kama ifuatavyo
1. Kibada City by NHC
maxresdefault.jpg

2. Dege eco village by NSSF
Dege%20Eco%20V-161201-1_dege1.jpg

3. Avic Town
maxresdefault.jpg


4. Hamidu City
WhatsApp-Image-2016-11-28-at-07.20.59.jpeg



Just few projects in Kigamboni.


Bado kuna Temeke satellite City
Bado kuna mwongozo Dungu Farm satellite City
 
Tulia sindano ikuingie
Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200

sun0Sgy.jpg
 
Kuna hii pia project ya Magomeni kota ya Magufuli. Amesema Kota sote za Dar es salaam zinakula gorofa. Kuanzia Kinondoni,Temeke na Ilala. Mwenye michoro atuwekee. Mradi Umesha anza. Magufuli hoyee
13.jpg
m19.jpg
m17.jpg
_MG_0306.jpeg
Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200

sun0Sgy.jpg
 
Halima Msasambuaji

This is a non recourse or limited recourse financing.
The other name of it is known as project financing. A sort of borrowing by which you get funding from the debt market out of your assets or balance sheet. This kind of financing is not consolidated into the corporate balance sheet. This is quite different from a normal corporate finance.
 
Mishahara ikiongezeka nitaenda kukaa huko la sivyo wageni waruhusiwe kuja kufanya kazi tu no way
 
Hiyo Watumishi Housing Corporation tu inaimaliza juu kwa juu
__800x800_57c7b47b6b17f.jpg


Landed Houses – Gezaulole Housing Project

Landed Houses – Gezaulole Housing Project

Gezaulole Housing Project – Construction continues


Gezaulole Housing Project – Construction continues.


Hehehe!! Kaka do you really want to do this, subiri nipate fursa nije hapa tupelekane kwa mapicha, niliwaambia kila hatua mnayopiga sisi tulipitia hapo miaka kumi iliyopita. Haya manyumba mnayoyashangaa leo sisi tulitoka huko zamani, ni kama pale TAZARA bado mnasubiri kwa hamu mpate flyover ya kwanza muwe mnapigiwa picha hapo, wakati sisi zipo nyingi hadi tumechoka nazo.
 
Hehehe!! Kaka do you really want to do this, subiri nipate fursa nije hapa tupelekane kwa mapicha, niliwaambia kila hatua mnayopiga sisi tulipitia hapo miaka kumi iliyopita. Haya manyumba mnayoyashangaa leo sisi tulitoka huko zamani, ni kama pale TAZARA bado mnasubiri kwa hamu mpate flyover ya kwanza muwe mnapigiwa picha hapo, wakati sisi zipo nyingi hadi tumechoka nazo.
Hii sindano ya cristapen kweli imekuingia mubashara
 
Hehehe!! Kaka do you really want to do this, subiri nipate fursa nije hapa tupelekane kwa mapicha, niliwaambia kila hatua mnayopiga sisi tulipitia hapo miaka kumi iliyopita. Haya manyumba mnayoyashangaa leo sisi tulitoka huko zamani, ni kama pale TAZARA bado mnasubiri kwa hamu mpate flyover ya kwanza muwe mnapigiwa picha hapo, wakati sisi zipo nyingi hadi tumechoka nazo.

Flyover unazosema nyingi, ziko ngapi??
 
Hehehe!! Kaka do you really want to do this, subiri nipate fursa nije hapa tupelekane kwa mapicha, niliwaambia kila hatua mnayopiga sisi tulipitia hapo miaka kumi iliyopita. Haya manyumba mnayoyashangaa leo sisi tulitoka huko zamani, ni kama pale TAZARA bado mnasubiri kwa hamu mpate flyover ya kwanza muwe mnapigiwa picha hapo, wakati sisi zipo nyingi hadi tumechoka nazo.
Unasemea hizo barabara zenu substandard?
 
Mimi nipo tangu Nhc inapata nyumba za wizi.
hizi za miji yote tanzania nzima ni za dhulma.
kwa taarifa yako kabla Miradi mipya nyumba zao zilikuwa zikinunuliwa off plan kama unaelewa.
leo pale morocco mradi ule wameuza 50% tena kutoka awamu ilopita.
sasa hivi umedoda.
tukirudi kawe ni kuwa plan nzima wameharibu kwa design ambayo kuweka concetration ya watu wengi kwa pamoja ni blocks nyingi sehemu moja
Hii watu wengi hawapendi.
wange design vila types nk
ukumbuke sasa hivi miradi mingi ya nyumba imesimama kwa ukosefu wa soko.
hizi nyumba ya chini ni Tshs 400m...mbongo gani atatupa hela hio ?
Gege kule kigamboni ime fail
kuna wachina wa Avinc nao walijenga nyumba 100 tena nyumba za kujitegemea iliwapa tabu sana kuziuza. Na walikusuduia kuendelea 2nd phase wame stop...hakuna soko ..
mjini maeneo ya upanga masaki zipo nyumba zimedoda kuuzika...tena masaki ndio posh areas kuishi au ku invest.
hapo ndugu yangu mradi kwa sasa sio muafaka...bora wageuze hio sehemi iwe Univesitu tupate wasomi kuindesha hii nchii



Sent using Jamii Forums mobile app
True. Tatizo wanahisi zile hela za awamu iliyopita bado zitaendelea na appetite za watu kuwekeza Kwenye majengo zitakuwepo. Nyumba za milioni 120 kule Kigamboni zimedoda, hizo za Kawe, Victoria na Morocco zitafuata tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Nairobi hakuna flyover zaidi ya interchange. Ni vidaraja vifupi nakuinua udongo ilikutengeneza matuta. Hata sisi huku zipo hizo.
KIGAMBONI+1.jpg
23366314861_d5de6125a0_b-1.jpg
Hehehe!! Kaka do you really want to do this, subiri nipate fursa nije hapa tupelekane kwa mapicha, niliwaambia kila hatua mnayopiga sisi tulipitia hapo miaka kumi iliyopita. Haya manyumba mnayoyashangaa leo sisi tulitoka huko zamani, ni kama pale TAZARA bado mnasubiri kwa hamu mpate flyover ya kwanza muwe mnapigiwa picha hapo, wakati sisi zipo nyingi hadi tumechoka nazo.
 
Mbona wana mikopo mikubwa zaidi ya huo na taarifa ya mkaguzi mkuu wa serikali haifanywi kazi kwa nini Msechu asiendelee kupiga kama wakupigwa wapi?
 
Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200

sun0Sgy.jpg
Tatizo minyumba ya Nairobi huwa ni poor finishing maana wakishachonga mitofali yao ya mawe basi wanajenga tu yanakuwaga kama uchafu, dar hawana maghorofa mengi lakin yaliojengwa yamefanyiwa finishing vizuri tofauti na ile ya Nairobi. Niliwahi ishi kahawa wendani nikitoka mjini hadi nafiki huko basi yote inafanana hadi haivutii labda ukifika KU majengo mapya ya chuo angalau yalikuwa yanavutia kidogo.
Hapo Nairobi hakuna flyover zaidi ya interchange. Ni vidaraja vifupi nakuinua udongo ilikutengeneza matuta. Hata sisi huku zipo hizo.View attachment 547951 View attachment 547952

True. Tatizo wanahisi zile hela za awamu iliyopita bado zitaendelea na appetite za watu kuwekeza Kwenye majengo zitakuwepo. Nyumba za milioni 120 kule Kigamboni zimedoda, hizo za Kawe, Victoria na Morocco zitafuata tu.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom