NHC ni shirika la serikali ya Tanzania chini ya wizara ya ardhi, kwani hilo deni atalipa Mkenya? Mnajenga nyumba nyingi hivi kwa mkopo mkubwa kiasi hicho halafu ukumbuke Watanzania wengi sio middle-class wenye uwezo wa nyumba kama hizi, wengi wanaishi Manzense n.k.
Wekeza mikopo kwenye miundo mbinu kama reli....
Nafikiri mpaka 2020 ngonjera za nai - Dar zitakua died naturally haha sababu hizi projects sio za Africa
Hiyo Watumishi Housing Corporation tu inaimaliza juu kwa juuNairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200
Leta source ya information hiyo.Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200
Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200
Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200
Kwa taarifa hii ya BBC hawa ndugu zetu wa Kenya ngonjera haziwezi kuisha.Nafikiri mpaka 2020 ngonjera za nai - Dar zitakua died naturally haha sababu hizi projects sio za Africa
Acha uchizi unafananisha dhamani ya dar na trillion 1.05Hapo watu watakula sana,hiyo pesa inaweza kujenga dar es salaam tatu,
wao wanajengea kitongoji kimoja
Hii sindano ya cristapen kweli imekuingia mubasharaHehehe!! Kaka do you really want to do this, subiri nipate fursa nije hapa tupelekane kwa mapicha, niliwaambia kila hatua mnayopiga sisi tulipitia hapo miaka kumi iliyopita. Haya manyumba mnayoyashangaa leo sisi tulitoka huko zamani, ni kama pale TAZARA bado mnasubiri kwa hamu mpate flyover ya kwanza muwe mnapigiwa picha hapo, wakati sisi zipo nyingi hadi tumechoka nazo.
Hehehe!! Kaka do you really want to do this, subiri nipate fursa nije hapa tupelekane kwa mapicha, niliwaambia kila hatua mnayopiga sisi tulipitia hapo miaka kumi iliyopita. Haya manyumba mnayoyashangaa leo sisi tulitoka huko zamani, ni kama pale TAZARA bado mnasubiri kwa hamu mpate flyover ya kwanza muwe mnapigiwa picha hapo, wakati sisi zipo nyingi hadi tumechoka nazo.
Kwahiyo umeshindwa kuandika thamani au!? Dhamani maana yake ni nini!?
Unasemea hizo barabara zenu substandard?Hehehe!! Kaka do you really want to do this, subiri nipate fursa nije hapa tupelekane kwa mapicha, niliwaambia kila hatua mnayopiga sisi tulipitia hapo miaka kumi iliyopita. Haya manyumba mnayoyashangaa leo sisi tulitoka huko zamani, ni kama pale TAZARA bado mnasubiri kwa hamu mpate flyover ya kwanza muwe mnapigiwa picha hapo, wakati sisi zipo nyingi hadi tumechoka nazo.
True. Tatizo wanahisi zile hela za awamu iliyopita bado zitaendelea na appetite za watu kuwekeza Kwenye majengo zitakuwepo. Nyumba za milioni 120 kule Kigamboni zimedoda, hizo za Kawe, Victoria na Morocco zitafuata tu.Mimi nipo tangu Nhc inapata nyumba za wizi.
hizi za miji yote tanzania nzima ni za dhulma.
kwa taarifa yako kabla Miradi mipya nyumba zao zilikuwa zikinunuliwa off plan kama unaelewa.
leo pale morocco mradi ule wameuza 50% tena kutoka awamu ilopita.
sasa hivi umedoda.
tukirudi kawe ni kuwa plan nzima wameharibu kwa design ambayo kuweka concetration ya watu wengi kwa pamoja ni blocks nyingi sehemu moja
Hii watu wengi hawapendi.
wange design vila types nk
ukumbuke sasa hivi miradi mingi ya nyumba imesimama kwa ukosefu wa soko.
hizi nyumba ya chini ni Tshs 400m...mbongo gani atatupa hela hio ?
Gege kule kigamboni ime fail
kuna wachina wa Avinc nao walijenga nyumba 100 tena nyumba za kujitegemea iliwapa tabu sana kuziuza. Na walikusuduia kuendelea 2nd phase wame stop...hakuna soko ..
mjini maeneo ya upanga masaki zipo nyumba zimedoda kuuzika...tena masaki ndio posh areas kuishi au ku invest.
hapo ndugu yangu mradi kwa sasa sio muafaka...bora wageuze hio sehemi iwe Univesitu tupate wasomi kuindesha hii nchii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe!! Kaka do you really want to do this, subiri nipate fursa nije hapa tupelekane kwa mapicha, niliwaambia kila hatua mnayopiga sisi tulipitia hapo miaka kumi iliyopita. Haya manyumba mnayoyashangaa leo sisi tulitoka huko zamani, ni kama pale TAZARA bado mnasubiri kwa hamu mpate flyover ya kwanza muwe mnapigiwa picha hapo, wakati sisi zipo nyingi hadi tumechoka nazo.
Tatizo minyumba ya Nairobi huwa ni poor finishing maana wakishachonga mitofali yao ya mawe basi wanajenga tu yanakuwaga kama uchafu, dar hawana maghorofa mengi lakin yaliojengwa yamefanyiwa finishing vizuri tofauti na ile ya Nairobi. Niliwahi ishi kahawa wendani nikitoka mjini hadi nafiki huko basi yote inafanana hadi haivutii labda ukifika KU majengo mapya ya chuo angalau yalikuwa yanavutia kidogo.Nairobi kuifikia ni ndoto, labda mshindane na Mombasa
Haya mavitu yanafanywa bila kuomba mikopo, hebu ona hii ambayo inashguhgulikiwa na kampuni ya kibinafsi inayoitwa Tilisi Developments Ltd, wanatengeneza nyumba 3,200
Hapo Nairobi hakuna flyover zaidi ya interchange. Ni vidaraja vifupi nakuinua udongo ilikutengeneza matuta. Hata sisi huku zipo hizo.View attachment 547951 View attachment 547952
True. Tatizo wanahisi zile hela za awamu iliyopita bado zitaendelea na appetite za watu kuwekeza Kwenye majengo zitakuwepo. Nyumba za milioni 120 kule Kigamboni zimedoda, hizo za Kawe, Victoria na Morocco zitafuata tu.
Sent using Jamii Forums mobile app