KERO NHIF imeikosesha nchi utawala wa sheria

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wewe utakuwa mwana NHIF tuuuu!
 
Wewe utakuwa mwana NHIF tuuuu!
Mimi kama unavyofikiri ila nimenufaika na huduma za NHIF mimi na familia yangu ndio nimekuambia kuja na hoja za kama serikali ifanye nini ili wanachi wengi zaidi wajiunge na bima na kuwa na uhakika wa matibabu.
Yaani hivi kuwa na utamaduni wa kukata bima za afya kama vile tunapokata bima za gari na nyumba bila hata ya kujua ni lini litapata ajalu au ni lini nyumba yako itapata ajal ya moto.
 
Wewe utakuwa mwana NHIF tuuuu!
Sio kama unavyodhani bali mimi nilikua muhanga kama wewe wa kuilaumu serikali na NHIF kuwa mbovu inatoa huduma kwa upendeleo, ila kumbe nilikua najidanfanya mwenyewe nilikua na biashara yangu nimeikatia bima, gari nimeikatia bima na hata nyumba nimeikatia lakini sikua na elimu ya umuhimu wa kuwa na bima ya afya ili kulinda afya yangu na wapendwa wangu. Hivyo baadaye nikaamua kutafuta bima ya afya ndio nikaona umuhimu wake.

Rafiki sio kila mtu anasema mazuri kuhusu NHIF ni mhusika ila wengine ni watu tulionufaika na tunaendelea kunufaika na huduma za NHIF broo
 
Bila kuwalazimisha watumishi wa umma kujiunga na huu mfuko, sidhani kama kuna mtumishi mwenye akili timamu angebaki!!
 
NHIF wamekuwa matapeli siku hizi. Hawalipi watoa huduma wao kwa wakati na hata wakikulipa pesa zinakatwa ovyo.


NHIF wawe wawazi tu kuwa wao ndo sababu wachangiaji mfuko hawapati huduma nzuri..
 
Serikali na wana NHIF waache wizi na ufisadi, kila kitu kitakuwa sawa.
 
Mimi ninayo NHIF kwa muda mrefu. Naijua ikiwa bora, kabla wahusika hawajaanza utapeli, na pia naijua sasa walivyoivuruga! Hivyo nina uhakika na ninachosema!
 
Hili jibu ni la Kisiasa sana, nyie hamlipi hospitali kwa wakati , ukilinganisha na washindani wenu, ndio maana wateja wenye card zenu wanafurumushwa kwenye hospitali za binafsi
 
nimekata NHIF TIMIZA AFYA sh 9,87000/ nimeenda kutibiwa magoti CCBRT walinikataa mpaka nianzie hospital za chini wakati huo ninaumwa sana goti nitibiwe na wao ni mabingwa wa mifupa, nimeenda SAIFEE hospital nimetoa kadi yangu hiyo ya Nhif nitibiwe wamenikatalia hawapokei kadi hiyo ya NHIF wanapokea za mawaziri, wabunge na familia zao na wafanyakazi wa makampuni na familia zao nasemaje. ikiisha muda wake hii card sirudii tena kukata NHIF mpaka nakufa sikati , sasa hivi natumia cash na kadi ninayo inaisha mwaka 25/4/2024. ukimuona mtu humu jf anatetea nhif huyo ni mfanyakazi au familia za wafanya kazi serikalini kadi wanapata bure hawaoni uchungu,NHIF waende saifee hospital wakaulize kama timiza afya wanapokea uwasikilize watasemaje
 
Sijamaliza kusoma yote. Lakini siyo NHIF tu kila sekta, taasisi, Wizara , halmashauri mambo ni ovyo. Mfano Tanesco tu, wamewezesha biashara ya jenereta mpaka madukani zimeisha, halafu Rais eti anatoa tamko waendelee na mgawo kwa miezi 6 zaidi,ina maana hata mvua zikianza waendelee na mgawo mpaka miezi 6. Dawa itatuingia muda si mrefu tutaingia barabarani hata kabla ya uchaguzi. Acha waendelee kuchochea Kuni tu.
 
Umewapiga machawa wa NHIF utosini kwa kitu kizito. Hao ndiyo walifisi Mfuko wakishirikiana na Anna wa Bodi ya Wakurugenzi.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la Tanzania ni Umasikini tu

Tukiweza
 
Majenereta na mafuta ili inwadhRi na ludbA (zisome kiarabu) watengeneze ela, STATE CAPTURE.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…