NHIF yaja na makali zaidi kwa Watanzania, yaondoa dawa lukuki kwenye orodha ya dawa zinazonufaika na malipo ya bima

NHIF yaja na makali zaidi kwa Watanzania, yaondoa dawa lukuki kwenye orodha ya dawa zinazonufaika na malipo ya bima

Status
Not open for further replies.
Hahaaaaa!! Naona umestukiwa unaanza kulia mitandaoni!!!! Kwa kifupi 10% imeyeyuka utalia sanaaaa! Ungekuwa mkweli na mzalendo (professional) Ulitakiwa kuonesha dawa za kipaumbele ambazo zimeonekana zinafaa sana kwa mazingira ya Tanzania. Mabadiliko kwenye list ya madawa ipo kisheria!

Shida ufisadi kwenye sekta ya dawa uliosababisha gharama za bima kuwa juu na kuwatesa wananchi sasa kwishney!!! Huwezi kuchagua madawa ya bei ghali yanayofanya kazi sawa na mengine ya bei ya kawaida!! UFISADI UNAOUA NHIF SASA MWISHOOOO!!!

Queen Esther
Mmh watanzania kama wewe ni hasara nchi hii!Hamna huruma na watu badala yake ni manufaa yenu tu kisiasa,shamw on you!
 
Mambo ya kutisha zaidi yako njiani iwapo huyu bwana atalazimisha atangazwe mshindi
 
Mmh watanzania kama wewe ni hasara nchi hii!Hamna huruma na watu badala yake ni manufaa yenu tu kisiasa,shamw on you!
Wanufaika wote wa asilimia 10 mnajulikana na dawa yenu ipo jikoni inachemka!! Mnataka kuiua NHIF kama mlivyofanya kwa Shirika la Bima (NIC)!! Narudia tena!! Kamisheni zenu kwenye maduka makubwa na viwanda vya dawa kwisha habari yake. Wanyonge hawawezi kuendelea kuteseka kwa ajili ya matumbo yenu wachache msiotosheka kama tumbo la kuzimu!!! Ukiona hutaki kaa pembeni wengine waendelee! Lazima wanyonge mpaka vijijini wapate huduma bora na sio bora huduma sababu kuna watu mnakula kupitia madawa ya bei kubwa yenye kufanya kazi sawa na nyinginezo za bei ya kawaida!!

Queen Esther
 
Hahaaaaa!! Naona umestukiwa unaanza kulia mitandaoni!!!! Kwa kifupi 10% imeyeyuka utalia sanaaaa! Ungekuwa mkweli na mzalendo (professional) Ulitakiwa kuonesha dawa za kipaumbele ambazo zimeonekana zinafaa sana
Acha upumbavu wewe! Onyesha na zilizoingizwa. Usioneshe tu zilizotolewa!

Queen Esther
Sasa wewe huelewi na unatukana tu hovyo. Kwa nini usiulize kwanza ukasubiri jibu kisha ndio useme kama ni upumbavu au la. Una bima ya Afya kweli? Au ndugu mwenye Bima ya afya? Nina mashaka hata na elimu yako au uwezo wako wa kufikiri. Jambo la kwanza unatakiwa kujiuliza kwa nini dawa zote hizo zimeondolewa. Mbili hizo dawa hapo hazina brand name ni generic names( bima huandikwa generic names tu), so huwezi sema eti zilikuwa zinatolewa kunufaisha kampuni au viwanda fulani. Elfu 7 unayopewa isikufanye uanze kutukana humu wakati hali halisi inakuumiza wewe au ndugu au jamii yako
 
Hahaha waione wapiga kura!

NHIF kama TRA wanakusanya mapato nguvu kwa ajili ya CCM.

Halafu utasikia tumejenga hosipitali nyingi sana, dawa bure hahaha.

Sasa mwenye ka insurance mnampa panadol tu, iweje bure kwa asiye na insurance?
 
Awamu hii wameshachukulia makato ya bima kama chanzo cha mapato ndio maana wanazidi kutukwaza ktk matibabu ili hizi fedha watumie ktk mambo mengine. Huu ni sawa na ulozi au ushirikina uliokubuhu!
Karibu Komredi Tundu Lissu utuokoe na majanga haya ya kutaka kutumaliza.
 
Wameacha paracetamol tu hapo

Aibu sana Mkuu,ninachoka na kuumia sana nikifikiria pesa nyingi nazochangia halafu dawa nyingi inanibidi nikanunue nje ya Bima.Kama vipi wangetupa uhuru tu wa kuchagua mifuko mingine ya Bima ya Afya kama ipo.NHIF kumonopolyze Bima Afya imekuwa na mazowea mabaya ya kuwanyonya wachangiaji wake,huu ni UTOPOLO sana
 
NHIF ingejikita kutolea huduma kwenye hospitali za umma.
Juzi kati niliumwa tumbo nikalazwa kwa usiku mmoja kwenye hospitali ya Private hapa Dar (tena kwa kulazimishwa na madaktari).
Bili ilipokuja kesho yake, ilikuwa ni Tsh laki tano.
Niliuhurumia sana mfuko wa bima niliokuwepo.. Yani kutundikiwa drip za buku mbili mbili ndio billi ifike huko?
Kingine kinachoimaliza hii mifuko ni kacha ya Watanzania kupenda kuumwa kwa vile wana bima.. Mtu akikohoa kidogo, hospitali.... Akiumwa kichwa kidogo, hospitali.. Kwa namna hii mifuko ya bima inalipa pesa nyingi kwenye hizi hospitali hivyo kuishia kudhoofika kiuchumi.
Kingine ni hizi hospitali kufanya kipimo zaidi ya kimoja kwa ugonjwa mmoja ili kuongeza bili... Kwa kweli kwenye matibabu dawa wala hazina gharama kubwa kama vipimo.
Kuwa mkweli utawala huu haufanyi vizuri kwenye hili. Unataka kuniambia miaka kumi ya Kikwete na kumi ya Mkapa huu utamaduni wa kuugua watu hawakuwanao? Raising wenu ameweka nguvu kwenye shughuli zinazohusu saruji tu.
Akili yako umeshindwa kujua kuwa mfuko wa Bima unapata Pesa kutoka kwenye mishahara ya wafanyakazi kati ya asililimia 3 au 6 kama sijakosea. Mishahara hii haijabadilika kwa miaka 5. Hivyo mfuko umeendelea kupata kiwango kile kile huku wategemezi wakiongezeka. Mfano aliyekuwa kapera kaoa na kupata watoto wawili. Hapo watu watatu wameongezeka bila kuongea gharama za uchangiaji. Hali kama hii lazima itaathiri mifuko yote pamoja na huu wa Bima.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom