NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

NHIF yakusudia kusitisha Mkataba wa Huduma kwa Hospitali za APHTA Ikiwemo Aghakani na TMJ

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
20240301_122202.jpg
20240301_122205.jpg
 
DAWA YA MOTO NI MOTO . AGHA KHAN ITAKUFA , wanachuo wote wanatibiwa in those hospitals . Let’s wait and see who wins.

They actually create a fear vacuum . If you act we act .
Aga Khan makao makuu tangu zamani hawapokei NHIF ya walalahoi.

Wanapokea NHIF (Premium) ya TRAZ NHIF, Bunge, TANAPA.

Kwahiyo wewe endelea kumeza mwarobaini
 
Hujui unachoongea..Mungu akupe uhai ushuhudie hiki kitu...
FYI hata watoa huduma hawaipendi hii bima find out....
Hii ndio bima inayoziingizia pesa vituo, kwa sababu ya uwingi wao. Lakini pia bima zingine hawaendi hovyo hospitali kwa kuwa hela zao zinawekwa kiwango maalum ambazo zikiisha tu wanajilipia wenyewe.
 
Back
Top Bottom