edon66
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 2,907
- 9,135
Cjaelewa mkuu nielewesheee...MFUKO WA BIMA YA AFYA UNAZIDI KUWA MZIGO KATIKA AFYA YA MTANZANIA ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cjaelewa mkuu nielewesheee...MFUKO WA BIMA YA AFYA UNAZIDI KUWA MZIGO KATIKA AFYA YA MTANZANIA ,
Hii Tanzania ipo siku Mungu atatuokoa kupitia mikononi ya Hawa wararushwaDuh.......waziri husika anaruka singeli majukwaai huku afya za watu zikipewa kisogo sio watoto wala watu wazima mfuko wa afya uko taabani halafu hakuna jitihada za kuuweka sawa.
Aga Khan ukiwa na NHIF KWA KUFUPI HUTUBIWI BIMA WAMESHAJITOA MPAKA UTO HELA CASH SIYO KADI YA BIMACjaelewa mkuu nielewesheee...
Hatuna budi kuanza jitihada za kujiokoa wenyewe tukisubiria mkono wa muweza wa yote haiwezekani magari ya kifahari yakawa kipaumbele kuliko afya za wananchi wako huo ni wendawazimu unaopaswa kupigiwa kelele na kila mwananchiHii Tanzania ipo siku Mungu atatuokoa kupitia mikononi ya Hawa wararushwa
Ajabu sana harafu waziri wa afya anacheza singeli majukwaani wakati wizara yake ameshindwa kuisimamia afya za wananchi mashakaniAga Khan ukiwa na NHIF KWA KUFUPI HUTUBIWI BIMA WAMESHAJITOA MPAKA UTO HELA CASH SIYO KADI YA BIMA
Kweli kabisa Aga Khan ni hospital ambayo Iko Kwenye Joint commission international accreditation,hata muhimbili na JCI Hawana JCI, anaifututia bima maana yake hujaikomesha ila umepumzisha na upuuzi wako uliza mmarekani yoyote akitaka kutibiwa,ulaya nzima ni mpaka hospitali yenye acredation ya JCIMaji yamezidi unga na moto umekata!
Hapa watakaoumia ni hawa;
1. Viongozi wakubwa/waandamizi wa serikali
2. Wabunge
3. Ndugu wa karibu wa viongozi wa serikali na wabunge.
Usiende Aga Khani, hautapewa huduma.Cjaelewa mkuu nielewesheee...
Aenda na Hela keshi akiwa na kabima lake ka NHIF Hapati hudumaUsiende Aga Khani, hautapewa huduma.