Eti Saifee...hii hii inayo inflate gharama za matibabu?
NHIF inaruhusu member wake akajifungulie(c-section)pale Saifee kwa sh 4,000,000 nje ya gharama za clinic ilhali Amana haifiki sh 500,000?
Wako busy kuongeza mishahara ya wabunge kwa 45.5% ingawa bado ni kada inayolipwa ghali zaidi kwa ujumla, raisi mwenye mshahara wa pengine sh 35m anayenunua saa ya sh 118m kama walivyosema wanamtandao.
Nchi inayopima maendeleo yake kwa kuangalia namba E kwa mujibu wa mchumi mbobevu na waziri wa shilingi.
60+ years na bado Malaria ni tatizo, kipindupindu ugonjwa unaosemwa kuwa unapata kwa kula kinyesi.
Nchi inayotenga zaidi ya sh 870bn kununua magari huku ina mashine 15 tu za MRI? Mashine moja ya MRI ni sawa na VXR moja, tunazo ngapi hizo VXR, tena za 2023?
Wazee walishafeli, watu wa makamo kadhalika, vijana ndo hao machawa na wakinondoni, JENI ZII vipi?