Ni addiction gani imekushinda kuiacha??

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,093
Aisee kwenye maisha kuna mambo ukizoea kuyafanya baadae yanageuka tabia, yanageuka hulka na mwenendo wa maisha.. *Addiction* ni moja ya vitu vigumu sana kuvikimbia..

Mimi hulka ya kunywa soda kila mara nimeshindwa kabisa kuiacha..

Hebu tuambie addiction yako ni ipi ???pengine tutasaidiana kuziacha..
 
Masikhara kila wakati,kuchekesha watu na kupigilia pamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…