Ni Adhabu gani nzuri ya kumpa Hawara ambaye unamwambia asipige Simu muda ukiwa na Mkeo na Yeye kwa Makusudi anapiga na Kukuponza?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Naomba majibu yenu ya haraka kwani kuna Mpuuzi Mmoja ( Demu wa Njje ) naona anataka kulazimisha nimwache mazima leo baada ya Kuniponza tena kwa Makusudi. Hata kama Wanaume tuna Mahawara zetu Nje ( Nje Cup ) ila kuna muda huwa tunapenda Kucheza pia Mechi zetu za Kawaida na Kimashindano na Heshima za NBC Premier League.
 
Tunataka siri ya mwenge mkuu. Hawara hatuhusu bana
 
nipe namba yake nimkanye asipokanyika najua nini chakumtafuna!
 
Kamshtaki kwa Mzee Cherehani, muuza mihogo maarufu wa soko la Kawe. Huyo ndiye kiboko ya wanawake wachepukaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…