Last Night
Member
- Jun 19, 2021
- 20
- 65
Habari wanajf hiki ndicho kilichonikuta kwenye mkesha wa x mas
Uwiii Wanajeshi Hawa sio watu tupo mm na shoga angu tumetoka club uck akanambia nimsindikize kwake tukifika atamwambia mume wake anipeleke home. Mme wake wanausafiri wao basi tumerudi zetu tunaimba wimbo wa marioo Bia tamu hapo tunaiimba kwa sauti hatuna wasiwasi tupo bwiii tumefika karbu na Kambi Yao na bwana ake na rafiki yangu ni mjeda anaishi jirani na Kambi mle kota ,Ile tumefika tu wakatokea wajeda wawili wakaulza nyie ni kina nani tukasema sisi ni wake wa wakubwa zenu tupishen tuna usingizi.
Jaman ghafla tulikula mtama kwanza atujakaa vizuri wakatuulza hapa tupo wangap tukasema wawili tulikula kipigo cha mwiz ety tupo wawili kwani nyie hamjioni tulipigwa nyie na hivi tulikuwa tumevaa vimini mbn vilikuwa kama Pichu baadae mume wa huyo shoga angu wakampigia simu ni mwenzao kufika akawaambia leteni fimbo sababu hawajaniaga.
Tulipigwa pamoja na huyo shem alitucharaza kisawasawa haswa shoga angu alipigwa mpk akaomba taraka tumekuja kuachiwa miguu haitembei mwil mzito ikabidi watuburuze kama mzoga, tumelala asubuh hatuwez hata kuinuka alaf shem kaamka anatuulza mmelalaj tukakaa kimya akaulza Tena kwa ukali ww tulijibu kwa saut za kinyonge . Akawa ametoka acha tuangaliane huku tunacheka machoz yanatoka jaman walituumua balaa jion yake shoga angu akabeba kikapu kama tunaenda sokoni ndo mazma hvyo mpk kwao hajarudi mpaka leo.
Uwiii Wanajeshi Hawa sio watu tupo mm na shoga angu tumetoka club uck akanambia nimsindikize kwake tukifika atamwambia mume wake anipeleke home. Mme wake wanausafiri wao basi tumerudi zetu tunaimba wimbo wa marioo Bia tamu hapo tunaiimba kwa sauti hatuna wasiwasi tupo bwiii tumefika karbu na Kambi Yao na bwana ake na rafiki yangu ni mjeda anaishi jirani na Kambi mle kota ,Ile tumefika tu wakatokea wajeda wawili wakaulza nyie ni kina nani tukasema sisi ni wake wa wakubwa zenu tupishen tuna usingizi.
Jaman ghafla tulikula mtama kwanza atujakaa vizuri wakatuulza hapa tupo wangap tukasema wawili tulikula kipigo cha mwiz ety tupo wawili kwani nyie hamjioni tulipigwa nyie na hivi tulikuwa tumevaa vimini mbn vilikuwa kama Pichu baadae mume wa huyo shoga angu wakampigia simu ni mwenzao kufika akawaambia leteni fimbo sababu hawajaniaga.
Tulipigwa pamoja na huyo shem alitucharaza kisawasawa haswa shoga angu alipigwa mpk akaomba taraka tumekuja kuachiwa miguu haitembei mwil mzito ikabidi watuburuze kama mzoga, tumelala asubuh hatuwez hata kuinuka alaf shem kaamka anatuulza mmelalaj tukakaa kimya akaulza Tena kwa ukali ww tulijibu kwa saut za kinyonge . Akawa ametoka acha tuangaliane huku tunacheka machoz yanatoka jaman walituumua balaa jion yake shoga angu akabeba kikapu kama tunaenda sokoni ndo mazma hvyo mpk kwao hajarudi mpaka leo.