Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,809
- 15,421
Mtaalamu mmoja wa mahusiano na malezi, Dk. Grace Katterman, katika kitabu chake maarufu kinachoelezea athari za Ghubu kiitwacho, Verbal Abuse, anaelezea uharibifu wa tabia unaoweza kusababishwa na ghubu kwa mtoto.
Anaeleza kwamba Mwanamke anapokuwa na ghubu watoto huathirika zaidi kuliko ghubu hilo anapokuwa nalo mwanaume. Anaonya kwamba mwanamke anapokuwa na ghubu huweza kuwafanya watoto kuwa na tabia zisizopendeza watakapokuja kuwa wakubwa.....................
Anaeleza kwamba Mwanamke anapokuwa na ghubu watoto huathirika zaidi kuliko ghubu hilo anapokuwa nalo mwanaume. Anaonya kwamba mwanamke anapokuwa na ghubu huweza kuwafanya watoto kuwa na tabia zisizopendeza watakapokuja kuwa wakubwa.....................