Hiyo wanaita Quality Assurance Fee ambayo inalipwa kwa TCU na wanafunzi kuanzia level ya cheti (certificate) hadi shahada ya uzamivu (PhD) kote nchini. Maelezo ya TCU juu ya malipo hayo bado ni utata hadi leo zaidi wanawatishia wakuu wa vyuo kua vyuo vyao visipolipa watakiona cha mtema kuni. Imeumiza watu wengi sana hiyo pesa especially ambao hawahusiki na TCU moja kwa moja. Vyuo vinakusanya na kuzituma TCU na kwa vyuo ambavyo wanafunzi wao hawajalipishwa direct, kuna baadhi wanaongezewa kwenye malipo ya ada so utailipa kama ada, wengine wanaongezewa kwenye michango mingine ya chuo so utailipa huko ukilipia michango mbalimbali ya chuo lakini sharti ni kila mwanafunzi anaesoma nchini Tanzania lazima alipe hyo elfu 20. PERIOD