Mjamaajr
Senior Member
- Nov 13, 2013
- 110
- 80
Waungwana.
Kuna mgogoro unaendelea hapa Chuoni kwetu (UoA) kuhusu Assuarance Fees toka kwa TCU.
Chuo kinataka kila mwanachuo alipe 20000/=Tshs kama agizo toka TCU lakini baadhi ya vyuo vimelipa bila wanachuo kuhusishwa sasa tunauliza hizo pesa ni za nini!? na wanachuo zinatuhusu nini!? Hayo ndio maswali makubwa lakini tena kwanini tulipe tena kwa kutumia Account ya Chuo!? Naomba mnisaidie mwenye taharifa sahihi.
Nawasilisha
Kuna mgogoro unaendelea hapa Chuoni kwetu (UoA) kuhusu Assuarance Fees toka kwa TCU.
Chuo kinataka kila mwanachuo alipe 20000/=Tshs kama agizo toka TCU lakini baadhi ya vyuo vimelipa bila wanachuo kuhusishwa sasa tunauliza hizo pesa ni za nini!? na wanachuo zinatuhusu nini!? Hayo ndio maswali makubwa lakini tena kwanini tulipe tena kwa kutumia Account ya Chuo!? Naomba mnisaidie mwenye taharifa sahihi.
Nawasilisha