Ni aibu Chadema kutolipa Wafanyakazi mishahara kwa miezi 6 kwa kisingizio cha kukosa Ruzuku!

Ni aibu Chadema kutolipa Wafanyakazi mishahara kwa miezi 6 kwa kisingizio cha kukosa Ruzuku!

Nimeshangaa chama kikubwa kama Chadema kinashindwaje kulipa mishahara ya watumishi wake!!

Yaani pamoja na miradi yote waliyonayo Chadema pamoja na Ada za wanachama bado hamuwezi kulipa mishahara?

Ruzuku haitolewi maalumu kwa ajili ya mishahara bali kusaidia ujenzi wa chama na hasa kueneza itikadi yake nchi nzima mijini na vijijini hadi kule migodini na migombani.

Chadema walipeni wafanyakazi mishahara yao kabla Naibu waziri Patrobas Katambi hajawashukia kama mwewe.

Ijumaa kareem!
Ulipata kujua CCM inawalipa wafanyakazi wake kwa vyanzo vipi? Je unajua CCM ilipora mali za umma kwa nguvu na kuzifanya ni miradi yake ikiwemo viwanja karibu vyote vya michezo nchini ambavyo vilijengwa kwa kodi za wananchi.?

Acha ushabiki wa kipumbavu, leta hoja za maana na sio upupu wa upuuzi.
 
Ulipata kujua CCM inawalipa wafanyakazi wake kwa vyanzo vipi? Je unajua CCM ilipora mali za umma kwa nguvu na kuzifanya ni miradi yake ikiwemo viwanja karibu vyote vya michezo nchini ambavyo vilijengwa kwa kodi za wananchi.?

Acha ushabiki wa kipumbavu, leta hoja za maana na sio upupu wa upuuzi.
Umefura sana manka.

Miradi ya CCM inaingiza pato la tsh 60 bilioni kwa mwaka!
 
Nimeshangaa chama kikubwa kama Chadema kinashindwaje kulipa mishahara ya watumishi wake!!

Yaani pamoja na miradi yote waliyonayo Chadema pamoja na Ada za wanachama bado hamuwezi kulipa mishahara?

Ruzuku haitolewi maalumu kwa ajili ya mishahara bali kusaidia ujenzi wa chama na hasa kueneza itikadi yake nchi nzima mijini na vijijini hadi kule migodini na migombani.

Chadema walipeni wafanyakazi mishahara yao kabla Naibu waziri Patrobas Katambi hajawashukia kama mwewe.

Ijumaa kareem!
Wafanya kazi wa CCM hapa tunasuburi Mechi ichezwe ndio MAPATO tugawane kama mishahara
 
Wapinzani si walikuwa wanawachelewesha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leteni maendeleo, CHADEMA wamekaa kimya ila nyie ndio mnawashwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshangaa chama kikubwa kama Chadema kinashindwaje kulipa mishahara ya watumishi wake!!

Yaani pamoja na miradi yote waliyonayo Chadema pamoja na Ada za wanachama bado hamuwezi kulipa mishahara?

Ruzuku haitolewi maalumu kwa ajili ya mishahara bali kusaidia ujenzi wa chama na hasa kueneza itikadi yake nchi nzima mijini na vijijini hadi kule migodini na migombani.

Chadema walipeni wafanyakazi mishahara yao kabla Naibu waziri Patrobas Katambi hajawashukia kama mwewe.

Ijumaa kareem!
 
Nimeshangaa chama kikubwa kama Chadema kinashindwaje kulipa mishahara ya watumishi wake!!

Yaani pamoja na miradi yote waliyonayo Chadema pamoja na Ada za wanachama bado hamuwezi kulipa mishahara?

Ruzuku haitolewi maalumu kwa ajili ya mishahara bali kusaidia ujenzi wa chama na hasa kueneza itikadi yake nchi nzima mijini na vijijini hadi kule migodini na migombani.

Chadema walipeni wafanyakazi mishahara yao kabla Naibu waziri Patrobas Katambi hajawashukia kama mwewe.

Ijumaa kareem!
Mbona hujawahi kumshangaa mwendazake,kwa muda wa miaka 5 hajawahi kupandisha mishahara kwa watumishi?
 
Mmawia anakesha akiliwa na mbu pale Ufipa kulinda ofisi lakini mshahara halipwi mwezi wa 6 huu.

Muoneeni huruma kijana wetu.
Hahahahaha....!! Mmawia unaitwa huku? Siku za karibuni amepotea sana hapa JF sijui ni kwa sababu ya kutokulipwa mshahara wake wa Ulinzi!!?
 
Back
Top Bottom