Ni aibu gani umewahi mfichia mpenzi wako?

Nilikutana na huyu dada nikiwa mkoani na nilimtongoza na mishe boom ikatiki, ni msichana mzuri tu sio haba. Sasa kuna siku tumekutana then tuka sex, aisee wakati namshusha chupi yake hata sijamaliza bado nilikutana na harufu mbaya moja kali sana.
Masuala ya faragha yanaishia huko huko mkuu. Sasa nikiandika hapa si ninakuwa nimemdhalilisha mkuu?
 

[emoji23][emoji23][emoji23]ila to yeye una vituko sana
 
Kwanza bn tumechat na kuonana kama mwezi hivi siku ya siku ananambia aah nataka tukavunje amri ya 6 sijui ya ngapi nkamwambia thawaaa....... Akasema lkn mziki wangu utauweza usije nijazia watu kwa mikelele nkasema thawaaaa ntauweza......Kwenda na kwenda hatimaye nkafika mhhhhhhhh nlichokutana nacho ni mziki wa asalaleeeeee kimoja nlitoka nachechemea nlimwambia tuachane tu bn na ww
 
Hizi habari za harufu zinachosha Sana kuzisikia....
 
Itakuwa ulikutana na mdogo wake kaka muarabu hapo kwenye kukojoa na kujamba🤣🤣
 
Sasa nikiandika hapa haitakuwa siri tenaaaaa.....
Akiwa anapiga yopeeeeee, anapigaaa keleleee kama anakifafaaaaaaa.
Ni hivyo tu ndg mwandishi.
 
Jf kuna masomo mazuri sanaa basii tuu
 
Kiruuuuuuuuuu
 
Hivi harufu huko chini hawa maden huwa hawasikiagi
Kuna manzi baada ya kuvua hali ikaanza kubadilika kupapasa hapa na pale vidole navyo vikawa kama vimesinyaa kama nimetoka kufua hivi sijui ilikuwa nini ile 😆
Ila vijana mna mambo mi sina mbavu,how come mtu asisikie?labda ni kitu amekizoea kwamba ni kama akishusha gogo chooni mpk mwingine aingie ndo afeel ile harufu?.sidhani bwana mi najua kama unajijua mwili wako any changes you can note.
 
Umeuaaaaa
 
Ila vijana mna mambo mi sina mbavu,how come mtu asisikie?labda ni kitu amekizoea kwamba ni kama akishusha gogo chooni mpk mwingine aingie ndo afeel ile harufu?.sidhani bwana mi najua kama unajijua mwili wako any changes you can note.
Sis ile siku vidole sijui vidole nilidumbukiza kwenye concetrate ya namna gan 🤨
Unajua vidole wakt wa baridi alaf ukagusa kwenye maji ndio kilichotokea 😆
Aseee nilifunga zipu mwezi 😄
 
Sis ile siku vidole sijui vidole nilidumbukiza kwenye concetrate ya namna gan 🤨
Unajua vidole wakt wa baridi alaf ukagusa kwenye maji ndio kilichotokea 😆
Aseee nilifunga zipu mwezi 😄
Nakuelewa sana hapo kwny vidole hyo hali kama umeloweka kwny maji ya baridi duuh hyo itakua ni hali ya Acidic imezidi sasa inategemea na yy alikua kwny siku zipi au chakula gani anakula mara nyingi ukute pia hanywi maji. Muda mwingine unaweza ukamenywa ngozi yote ukiingiza huko yani kuna hali za tofauti. Pole hahahahaaa
 
Ila wewe ni mwehu walai nimecheka sanaaaa,,ila ni kweli ulichosema . NAKAZIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…