Ni aibu gani umewahi mfichia mpenzi wako?


Duuh nanshukuru mungu kwa kuniepusha na uo ulemavu mi nilikua sijui kwamba hua ni kweli. sasa kwani alikua hasimamishi kabisa? Au alikua inasimama inawahi kulala au alikua kimoja chali analala mazima? Maan kam kama ilikua kusimam inawez bas izo zilikua nguvu za kiume tuu inasolvika ila yakua hanithi ni sawa kumcheat japo inauma sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Duh! Nimecheka sana, kumbe kuna wanaume wa dizaini hiyo!??
Eti kukojoa, lazima ajambe! Pumbafu[emoji28]
🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸🙌
 
Haisimami kabisa hata ifanyaje ila kwenda haja ndogo anaenda mbegu anazo sasa eti walitaka kaka mtu ndio nizae naye nilisema hapana .
 
Haisimami kabisa hata ifanyaje ila kwenda haja ndogo anaenda mbegu anazo sasa eti walitaka kaka mtu ndio nizae naye nilisema hapana .

Dah Kumbe kuna watu wanamiguu mikono na macho ila wapo kwenye mateso makubwa sana yani kuiona papuchi hii apa af unashidwa kuila so sad machungi yake siyapatii picha.
 
Naanza kukuelewe hapa maana ni kama kuna ukweli ...nimejaribu kuvuta picha from my experience naona kabisa mwanamke akitoa harufu soon tu unapomvua au anapovua nguo hiyo kitu usiguse au ukigusa tumia kinga... Nasisitiza tena usiguseee au ukigusa tumia kingaaa hapo hukosi UTI, KASWENDE, GHONOREA na mengine yanayofanana na hayo kwa 100 percent
 
Umemaliza. Wanadhani tumenyamaza kwamba wao wako so perfect kumbe tunavumilia vikorokoro kibao.
 
Niliwahi chakata mbususu ya kununua ya namna hii, eti na yenyewe inalia kimahaba, eti inaumia! Nilivyoskia sentensi "utaongeza hela" Nikamwaga hapo hapo
[emoji23][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…