Ni aibu gani umewahi mfichia mpenzi wako?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]

Utakuwa ulikutana na vivulana mbona sisi wababa tuko wasafi na tuna experience ya kuwaandaa muulize Unique Flower atakwambia. Hautajuta na financially tuko stable
Nlivyo ona Financialy nikastuka nikajua ushakula tunda lake bhanaa maana huyu mwanamke na mpendaa basi.
Siku akijua navyo mpenda hatoniacha
 
Hivi harufu huko chini hawa maden huwa hawasikiagi
Kuna manzi baada ya kuvua hali ikaanza kubadilika kupapasa hapa na pale vidole navyo vikawa kama vimesinyaa kama nimetoka kufua hivi sijui ilikuwa nini ile 😆

acid hiyo kaka 😀
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zinatoaga harufu bana,nahisi sababu ya kubanwa Kwa muda mrefu maofisini humo....kuoga Sasa mnapenda?[emoji1751]
Huyo anaenuka ni huyo wako na sio wanaume wote pia inaonekana uu mbobezi ktk sector ya makende[emoji1787][emoji1787]
 
Na wanawake wa kizungu nawao wananuka k kweli?
 
Yule demu akinyoa vuzi anakuwa na vipele vingi kama elfu moja hivi tena vingine vinakuwa na usaha, vingine vinakuwa majipu. Akili yangu ikiona vipele huwa nataman kuvitumbua tu nikashindwa kupiga gemu kwani mda wote nilikuw nawaza vile vipele navitumbuaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…