Ni aibu gani umewahi mfichia mpenzi wako?

Weh! Acha hizo ila inauma sana unaona mtu unayempenda yupo katika hali hiyoo .
Mmh, Unique Flower ,kumbe na nyie huwa mnatuonea huruma? Mbona huyu wa kwangu hana moyo wa huruma? Kuna siku nimeanguka na pikipiki nikaumia, cha ajabu anakuja kuniona kitandani ananambia nimpatie 15k akanunue pedi
 
Na ametokea kuipenda jf hadi kujiunga rasmi kwa ajili ya comment zako, na ameanza kwa kureply comment yako!

Hadi mimi nilijiunga jf baada ya kuvutiwa na comments zako
Wee,usiniambie😳 we Si umesema hufanyi tena
 
Haya uliyoeleza yanategemea k ikoje, kama ni kubwa, utasema ni kibamia, kama inanuka, nitumie dakika mbili kupiga bai za nini, na nikuandae wakati inanuka?
Huenda wewe una matatizo, jichunguze, make huwezi jua piua kama inanuka, muulize mshikaji wako akuambie bila kukuonea aibu.
 
@smaki ujue una miaka 34 wewe [emoji1787]
ku........ Mkuu!! ndo unatumia avatar hii....ooh!! sorry lkn usijali naelimisha jamii! tu!....tuielimishe basi!! waambie tu MKUU! ni wewe!!! kwani unadhani wanazioona threads hizi? wengi basi kwanza hawafuatiliagi hawa wana JF!

ebu nambie sasa tuongee kiutu uzima! hkn anaye tujua kwa nini ulificha faster ule mpasuko bana mie nilitaka nione tu?? halafu nikasika eti umeoa?...kwa nini? huoni unajitangaza vibaya??
 
Dah manina walahi. Umenichanganya mbwa wewe..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daa jamaa alikuwa na jinsia mbili kabisaaa nikamwamibia hii nini akazuga zuga tu!
[emoji1787][emoji1787] Kwamba akitoka hapo anakwenda kwa Shaban kutafunwa mbususu, anapigwa na tule tumakofi twa matracle, akizubaa inaingia kwenye ndogo. Hii ndo maana halisi ya malipo ni hapa hapa duniani Beesmom
 
[emoji1787][emoji1787] Kwamba akitoka hapo anakwenda kwa Shaban kutafunwa mbususu, anapigwa na tule tumakofi twa matracle, akizubaa inaingia kwenye ndogo. Hii ndo maana halisi ya malipo ni hapa hapa duniani Beesmom
🤣🤣🤣Niache🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…