Ni aibu gani umewahi mfichia mpenzi wako?

Yaani wewe ni mtata una mambo mengi alooo 🀣
 
Mhhhh kumbe ndo yule ulisema wa humu humu ndani jogoo ndio alikua kwio
 
Hii ni uwongo, hamna mwanaume asiesimamisha wote tunasimamisha
 
Ndio hivyo mkuu weka guard mapema usije ukateketea kizembe, si unaijua PANGUSA lakini inavyotesa?

Jilinde kwa kuvaa kinga inapobidi usichukulie poa
Kabisaaaa....hii imeshanitokea kama mara mbili hivi napuuzia ila badae nakutana na matokeo ya kudharau harufu kwa kuongozwa na kichwa cha chini....
NASISITIZA MWANAMKE ANAYETOA HARUFU MBAYA UKENI HUYO ANAUMWAAA.... USIGUSEEE AU TUMIA KINGA UNAPOGUSA....MTAKUJA KUFA MSEME HAMKUAMBIWA
 
Aiseee
 
Kwa nn anaoza
 
Bwana zako wote wakikojoa wanajamba.... mabwabwa hayo
 
Hivi harufu huko chini hawa maden huwa hawasikiagi
Kuna manzi baada ya kuvua hali ikaanza kubadilika kupapasa hapa na pale vidole navyo vikawa kama vimesinyaa kama nimetoka kufua hivi sijui ilikuwa nini ile πŸ˜†
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nini iki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…