Ni aibu Hospitali za Kanda Kukosa MRI

Ni aibu Hospitali za Kanda Kukosa MRI

Tufanye harambee watu wa Mbeya tuwanunulie hizo machine madaktari wetu. Pesa ndogo sana hiyo tukiamua wenyewe. Kwa mfano tuchange nusu serikali imalizie nusu. Wananachi inabidi tuonyeshe kukerwa kwa vitendo badala ya kunung'unika mitaani. Hakuna tofauti na wananchi kujitolea kujenga shule na serikali kuchangia mabati.
Hizi fedha anazotumia kuteua angenunua machine za kutosha
 
Tunajenga viwanja vya ndege vya kufugia ng'ombe na taa za barabarani za kuongozea punda wenye mikokoteni lakini tunaacha mambo yenye manufaa na yanayoweza kusaidia watu wengi...
Ile ya Chata inaendeleaje?
 
Back
Top Bottom