Ni aibu Jiji la Mwanza siku 7 bila maji na Ziwa Victoria bado halijakauka

 Ni aibu Jiji la Mwanza siku 7 bila maji na Ziwa Victoria bado halijakauka

Labda keki kubwa inapelekwa mchambawima, who knows?
 
Mwanza imetelekezwa...
Mwanza imetelekezwa...

Huduma nyingi za kijamii mwanza ni tia maji Sana.

Mmependelewa Muda Mrefu Sana Now Ni Zam Ya Wengine,hilo Daraja Limekula Hela Zetu Nyingi Sana,mtaleta Hadi Mabandiko Kwa Kisukuma Humu Lakini Haita Saidia.
 
Hivi hii serikali yetu ipo kwa ajili ya nini? Kweli inakubalije jiji kubwa kama Mwanza ambalo liko pembezoni na ziwa kubwa kuliko yote Afrika la Victoria kukaa zaidi ya wiki na maeneo yake kukosa maji?

Nimetembelea hapa na kukuta baadhi ya maeneo mengi wakilalamikia hali hiyo na MWAUWASA wao kazi yao ni ku issue tu bill kila mwezi na hakuna maji.

Hivi Mungu angetupa ukame tungeweza kuhimili kama maji yapo na tunashindwa kusambaza.
Serikali hii imechoka kabisa.
Wewe unasema wiki! Kuna maeneo (sahwa) kina mama wanalala usiku kucha mabondeni kuchota maji. Watu wananyanganyana maji na mgedere, eti ni jiji. Ni hatari, mengine wamejaribu ila maji yamewashinda. Hatuna wabunge na hatuna madiwani
 
Wewe unasema wiki! Kuna maeneo (sahwa) kina mama wanalala usiku kucha mabondeni kuchota maji. Watu wananyanganyana maji na mgedere, eti ni jiji. Ni hatari, mengine wamejaribu ila maji yamewashinda. Hatuna wabunge na hatuna madiwani
Wabunge si wapo Mabula mwanamke na uwaziri kapewa na Mabula mwanaume yule anayejikomba apewe hata unaibu lakini shule tuu ndiyo kikwazo?
 
Maeneo kama sawha ya juu na chini wananchi wanaishi kama kenge maana muda wote wako kwenye haka kabonde ambako nako kamekauka sasa. Kiukwel hali ni mbaya sana magomvi yasiyoisha kwa wamama wakigombea maji kutwa nzima
 
Back
Top Bottom