DOKEZO Ni aibu Kawe - Dar kuwa na Kituo cha Daladala cha hali hii. Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na Mbunge wajitafakari

DOKEZO Ni aibu Kawe - Dar kuwa na Kituo cha Daladala cha hali hii. Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na Mbunge wajitafakari

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mwamposa angejichukulia point hapo... akawatengenezea vizuri sana na akawajengea na bonge la kituo cha daladala!

Wananchi wenyewe wangemtaka agombee ubunge bila hata kutaka
 
Mwamposa angejichukulia point hapo... akawatengenezea vizuri sana na akawajengea na bonge la kituo cha daladala!

Wananchi wenyewe wangemtaka agombee ubunge bila hata kutaka
Kujenga sehemu kama hiyo wala siyo fedha ya kutisha. Ila ndiyo hivyo tena, ma-fisi-em wamezoea kula bata na wananchi wameshazoea mateso.
 
Dah kawe imetelekezwa nadhani kwa sababu ya yule dada aliyekuwa mbunge wao
Ila hata mbunge wao wa sasa anashindwa kupeleka hoja bungeni kweli??
 
Kawe ni moja ya Kata zilizopo ndani ya Wilaya ya Kinondoni na katika Jimbo la Kawe ikiwa ni moja ya Kata maarufu sana lakini hali ya Kituo cha daladala katika Kata hiyo inahuzunisha sana.

View attachment 2872499 View attachment 2872500 View attachment 2872501 View attachment 2872502

Kituo hicho kilichopo Tanganyika Packers kina magari ya kwenda Segerea, Bunju, Mbezi, Mloganzila.

Kawe haijawahi kuwa na Kituo kizuri cha Daladala kwa muda mrefu sana. Awali Daladala zilikuwa zikitumia eneo la Ukwamani ambalo halikuwa Kituo rasmi kwasababu Magari yalikuwa yanaegeshwa Barabarani tu.

Baadaye Daladala zikahamishiwa Tanganyika Packers sehemu ambapo kuna eneo kubwa, lakini cha kushangaza bado Kituo hicho kimefinywa eneo huku kikiwa na miundombinu mibovu, isiyo salama na ya kufedhehesha.

Nakumbuka baada ya kuhamishia magari katika Kituo hicho, waligawanya magari tena. Kwamba yanayotumia route ya barabara ya Mwai Kibaki yalirudishwa Ukwamani na yanayotumia route ya barabara ya New Bagamoyo yakabaki Tanganyika packers.

Ni jambo jema kusaidia Wananchi lakini kupunguza magari ili kupunguza ukubwa wa Kituo ni jambo la kushangaza sana la linaonesha ufinyu wa kufikiria wa Viongozi.

Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima; Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila (na Waliopita) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule wanatakiwa kuona aibu sana kwa Kawe kuwa na Stendi ya namna hii huku mapato yakikusanywa kila Uchwao.

View attachment 2872505 View attachment 2872506 View attachment 2872507

Kituo magari kupishana tu inakuwa shida wakati huo huo kuna wafanyabiashara pembezoni kabisa wa Kituo ambao wangeweza kusogezwa.

Tena hawa wafanyabiashara waliwahamishwa kipindi Fulani, kipindi cha kuondoa Wanachinga nae neo lilikuwa safi lakini kwa sasa wamerudi kwa kasi na hadi kazi za upishi wa chakula zinafanyika kwenye maeneo hayo ya kituo yaliyojaa matope, matakataka na maji machafu jambo linalihatarisha Maisha ya watu kwa kiwango kikubwa sana.

Nyuma ya wafanyabiashara hawa kuna eneo kubwa (huenda linamilikiwa na NHC) lakini lingeweza kutumika na kujenga kituo cha daladala bora kabisa na cha kisasa lakini kwa kuwa Viongozi wanaona Wananchi sio kitu hawajawahi hata kujaribu kuwajengewa Wakazi wa Kawe Kituo bora na cha Kisasa cha Daladala

View attachment 2872512 View attachment 2872513 View attachment 2872514 View attachment 2872515
LEO MAKONDA AMEPELEKA MAKATAPILA 22 KAWE.
 
Kawe ni moja ya Kata zilizopo ndani ya Wilaya ya Kinondoni na katika Jimbo la Kawe ikiwa ni moja ya Kata maarufu sana lakini hali ya Kituo cha daladala katika Kata hiyo inahuzunisha sana.

View attachment 2872499 View attachment 2872500 View attachment 2872501 View attachment 2872502

Kituo hicho kilichopo Tanganyika Packers kina magari ya kwenda Segerea, Bunju, Mbezi, Mloganzila.

Kawe haijawahi kuwa na Kituo kizuri cha Daladala kwa muda mrefu sana. Awali Daladala zilikuwa zikitumia eneo la Ukwamani ambalo halikuwa Kituo rasmi kwasababu Magari yalikuwa yanaegeshwa Barabarani tu.

Baadaye Daladala zikahamishiwa Tanganyika Packers sehemu ambapo kuna eneo kubwa, lakini cha kushangaza bado Kituo hicho kimefinywa eneo huku kikiwa na miundombinu mibovu, isiyo salama na ya kufedhehesha.

Nakumbuka baada ya kuhamishia magari katika Kituo hicho, waligawanya magari tena. Kwamba yanayotumia route ya barabara ya Mwai Kibaki yalirudishwa Ukwamani na yanayotumia route ya barabara ya New Bagamoyo yakabaki Tanganyika packers.

Ni jambo jema kusaidia Wananchi lakini kupunguza magari ili kupunguza ukubwa wa Kituo ni jambo la kushangaza sana la linaonesha ufinyu wa kufikiria wa Viongozi.

Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima; Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila (na Waliopita) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule wanatakiwa kuona aibu sana kwa Kawe kuwa na Stendi ya namna hii huku mapato yakikusanywa kila Uchwao.

View attachment 2872505 View attachment 2872506 View attachment 2872507

Kituo magari kupishana tu inakuwa shida wakati huo huo kuna wafanyabiashara pembezoni kabisa wa Kituo ambao wangeweza kusogezwa.

Tena hawa wafanyabiashara waliwahamishwa kipindi Fulani, kipindi cha kuondoa Wanachinga nae neo lilikuwa safi lakini kwa sasa wamerudi kwa kasi na hadi kazi za upishi wa chakula zinafanyika kwenye maeneo hayo ya kituo yaliyojaa matope, matakataka na maji machafu jambo linalihatarisha Maisha ya watu kwa kiwango kikubwa sana.

Nyuma ya wafanyabiashara hawa kuna eneo kubwa (huenda linamilikiwa na NHC) lakini lingeweza kutumika na kujenga kituo cha daladala bora kabisa na cha kisasa lakini kwa kuwa Viongozi wanaona Wananchi sio kitu hawajawahi hata kujaribu kuwajengewa Wakazi wa Kawe Kituo bora na cha Kisasa cha Daladala

View attachment 2872512 View attachment 2872513 View attachment 2872514 View attachment 2872515
Jimbo la kawe ni jimbo lenye barabara za hovyo mno. Gwajima akiweza kuweka ata mitaro tu barabara za kawe, mbezi beach, Kunduchi beach, bahari beach, ununio beach mpaka huko bunju itamsaidia kurudi bungeni.
 
Dah kawe imetelekezwa nadhani kwa sababu ya yule dada aliyekuwa mbunge wao
Ila hata mbunge wao wa sasa anashindwa kupeleka hoja bungeni kweli??
Imetelekezwa na ccm hata sasa hivi. Ni bora tu jimbo lirudi upinzani tutelekezwe zaidi kuliko kuwapa wakoloni wa kijani wakati hawatusaidii. Majumba mazuri mazuri barabara ni swamps za kulima mpunga. Hakuna tofauti ya barabara za jimbo la kawe na swamps za mpunga ifakara na dakawa huko.
 
Kawe ni moja ya Kata zilizopo ndani ya Wilaya ya Kinondoni na katika Jimbo la Kawe ikiwa ni moja ya Kata maarufu sana lakini hali ya Kituo cha daladala katika Kata hiyo inahuzunisha sana.

View attachment 2872499 View attachment 2872500 View attachment 2872501 View attachment 2872502

Kituo hicho kilichopo Tanganyika Packers kina magari ya kwenda Segerea, Bunju, Mbezi, Mloganzila.

Kawe haijawahi kuwa na Kituo kizuri cha Daladala kwa muda mrefu sana. Awali Daladala zilikuwa zikitumia eneo la Ukwamani ambalo halikuwa Kituo rasmi kwasababu Magari yalikuwa yanaegeshwa Barabarani tu.

Baadaye Daladala zikahamishiwa Tanganyika Packers sehemu ambapo kuna eneo kubwa, lakini cha kushangaza bado Kituo hicho kimefinywa eneo huku kikiwa na miundombinu mibovu, isiyo salama na ya kufedhehesha.

Nakumbuka baada ya kuhamishia magari katika Kituo hicho, waligawanya magari tena. Kwamba yanayotumia route ya barabara ya Mwai Kibaki yalirudishwa Ukwamani na yanayotumia route ya barabara ya New Bagamoyo yakabaki Tanganyika packers.

Ni jambo jema kusaidia Wananchi lakini kupunguza magari ili kupunguza ukubwa wa Kituo ni jambo la kushangaza sana la linaonesha ufinyu wa kufikiria wa Viongozi.

Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima; Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila (na Waliopita) pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule wanatakiwa kuona aibu sana kwa Kawe kuwa na Stendi ya namna hii huku mapato yakikusanywa kila Uchwao.

View attachment 2872505 View attachment 2872506 View attachment 2872507

Kituo magari kupishana tu inakuwa shida wakati huo huo kuna wafanyabiashara pembezoni kabisa wa Kituo ambao wangeweza kusogezwa.

Tena hawa wafanyabiashara waliwahamishwa kipindi Fulani, kipindi cha kuondoa Wanachinga nae neo lilikuwa safi lakini kwa sasa wamerudi kwa kasi na hadi kazi za upishi wa chakula zinafanyika kwenye maeneo hayo ya kituo yaliyojaa matope, matakataka na maji machafu jambo linalihatarisha Maisha ya watu kwa kiwango kikubwa sana.

Nyuma ya wafanyabiashara hawa kuna eneo kubwa (huenda linamilikiwa na NHC) lakini lingeweza kutumika na kujenga kituo cha daladala bora kabisa na cha kisasa lakini kwa kuwa Viongozi wanaona Wananchi sio kitu hawajawahi hata kujaribu kuwajengewa Wakazi wa Kawe Kituo bora na cha Kisasa cha Daladala

View attachment 2872512 View attachment 2872513 View attachment 2872514 View attachment 2872515
ukiwauliza utaskia mimi mjanja naishi Daslamu mimi kumbe mpuuzi tu ni kama anakaa kwenye banda la bata SHAME.
 
Back
Top Bottom