Ni aibu kubwa kuwa na Mbunge kama Musukuma ambae anadhania kuwa Mbunge ni kinga ya kutokukamatwa kama akifanya makosa ya jinai.

Ni aibu kubwa kuwa na Mbunge kama Musukuma ambae anadhania kuwa Mbunge ni kinga ya kutokukamatwa kama akifanya makosa ya jinai.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Taifa letu linarudishwa nyuma sababu ya kuwa na wanasiasa wanaojali upuuzi huku wakipoteza kodi za watanzania kujadili masuala yasiyo na na maana Bungeni.

Yaani mtu akiwa Mbunge ndio watumishi wake wasikamatwe kwa kupakia samaki waliovuliwa kinyume na sheria?

Askari gani ambae hana weledi mpaka akamate basi zima kwa kubeba samaki watatu wa mboga?

Kama watumishi wa mbunge wamefanya makosa kwa nini wasichukuliwe hatua?

Wabunge kama hawa ndio sababu ya taifa letu kukwama kimaendeleo.
 
Musukuma amedai samaki ni watatu, wewe unaona ni sawa kama jambo hili ni sahihi ? umekuja kumu attack tu Musukuma hapa,Askari anayekamata bus kisa samaki watatu kama ni kweli basi hana weledi
 
Na kwanini akamate bus? Yeye alitakiwa akamate samaki.

Wasukuma Wana roho mbaya
 
Wamejikweza na kujiaminisha kuwa wao wako juu ya sheria za nchi!!! It is unfortunate kwamba wabunge wetu wengi hawajitambui!!
 
Taifa letu linarudishwa nyuma sababu ya kuwa na wanasiasa wanaojali upuuzi huku wakipoteza kodi za watanzania kujadili masuala yasiyo na na maana Bungeni.

Yaani mtu akiwa Mbunge ndio watumishi wake wasikamatwe kwa kupakia samaki waliovuliwa kinyume na sheria?

Askari gani ambae hana weledi mpaka akamate basi zima kwa kubeba samaki watatu wa mboga?

Kama watumishi wa mbunge wamefanya makosa kwa nini wasichukuliwe hatua?

Wabunge kama hawa ndio sababu ya taifa letu kukwama kimaendeleo.
Chama Cha Mazezeta
 
Vp shabiby na aboud wapo kwenyee kundi la mbuge km huyu msukumaaa,,,naulizaa tuuu!!!! Nn cha maana anachowafanyia wale wananchi wakeee!!!!!!
 
Musukuma amedai samaki ni watatu, wewe unaona ni sawa kama jambo hili ni sahihi ? umekuja kumu attack tu Musukuma hapa,Askari anayekamata bus kisa samaki watatu kama ni kweli basi hana weledi
Acha kusingizia askari wetu samaki watatu ni wa mboga tu
 
Vp shabiby na aboud wapo kwenyee kundi la mbuge km huyu msukumaaa,,,naulizaa tuuu!!!! Nn cha maana anachowafanyia wale wananchi wakeee!!!!!!
Watu wa gairo hawasiki hawambiwi kwa shabiby

Ova
 
Back
Top Bottom