Kheri Hansen
JF-Expert Member
- Jan 20, 2018
- 1,025
- 1,238
Kwa kuzingatia kipato cha eneo husika. Kama ulichepuka somo la Economics madhara yake ndo kuuliza upuuzi kama huu.Hivi Kiingilio huwa kinapangwa kwa kuzingatia hali ya Uchumi wa eneo husika na Watu husika kwa Kipindi husika au huwa kinapangwa kwa kuzingatia aibu?