Ni aibu kubwa Taifa kutimiza miaka 60 ya uhuru wake, linahangaika kuwatafutia wananchi umeme na maji

Ni aibu kubwa Taifa kutimiza miaka 60 ya uhuru wake, linahangaika kuwatafutia wananchi umeme na maji

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Nimekuwa nikijiuliza, hivi kama Taifa tunakwamia wapi?

Hivi Tanzania ya leo, ndiyo ihangaike kuwatafutia wananchi wake umeme na maji, baada ya kujitawala toka kwa mkoloni miaka 60 iliyopita?

Nchi iliyojaa rasilimali tele, kama vile mito inayotiririka maji mwaka mzima, maziwa matatu makubwa yanayoizunguka nchi.

Nchi ambayo ina gesi ya kumwaga zaidi ya ujazo wa 57trililioni cubic meters, ambayo ingetuwezesha kuwa na umeme wa uhakika, kwa Maisha yetu yote!

Na umeme mwingine tuwauzie majirani zetu ambao hawajajaliwa na Mungu kuwa na nishati hiyo ya gesi kama tuliyo nayo sisi!

Hivi tunakwama wapi, wakati kuna nchi, ambazo zipo maeneo ya majangwa yakipata maji bila Shida katika kipindi chote cha Maisha yao??

Tunakwama wapi, wakati kuna nchi ambazo hazina rasilimali ya nishati ya gesi, kama tuliyo nayo sisi, zikiwa na umeme wa uhakika kipindi chote bila kujali Hali ya hewa ya ukame??

Tuseme sisi tumepata laana toka kwa Mungu kuwa Katika Hali hii??

Nimetafakari yote hayo kwa uchungu mkubwa na kugundua kuwa nchi yetu ina tatizo kubwa la uongozi wa kudumu uliopo wa CCM

Hivi inawezekanaje kutokana na ukame tulio nao, anaibuka kiongozi mkubwa wa mamlaka za maji, anasema kuwa, mgawo wa maji utapungua, kama siyo kwisha kabisa, kwa kuwa tayari wameshawadhibiti wale waliokuwa wanamwagilia mashamba yao, na hivyo tayari mto wa Ruvu umejaa maji?!

Ukweli lazima usemwe, nchi yetu bila kupata Katiba mpya ya nchi, hatutoboi!

Tutaendelea kuhangaika na "petty issues" kwa Maisha yetu yote!
 
Jana umelala bila kuoga nini mkuu!
Hapana kipara kipya

Hivi serikali hii inaona kipaumbele chake ni kuwanunua tu wapinzani, lakini hawana mpango wa kutenga fedha Katika miradi inayowanufaisha wananchi?

Bila Katiba mpya, wananchi tutaendelea kuchezewa Maisha yetu yote
 
Sasa utafiti wa anga za juu utaanza lini ikiwa leo tunajenga madarasa na vituo vya afya kwa pesa ya tozo na mkopo wa IMF.....bongolala is doomed.
 
Sasa utafiti wa anga za juu utaanza lini ikiwa leo tunajenga madarasa na vituo vya afya kwa pesa ya tozo na mkopo wa IMF.....bongolala is doomed.
Nchi hii ina matatizo makubwa Sana.

Hivi ni kwanini wananchi tunatozwa tozo kubwa Sana, kwenye miamala ya simu, wakati huduma za msingi za wananchi, kama vile umeme na maji hanna?
 
ozp.jpg
 
Ukiangalia vizuri ni sheria tulizojiwekea wenyewe ndio zinatuumiza, unaipa monopoly TANESCO na unakataza private sector kufanya biashara ya umeme kwa sababu za kishamba na kipuuzi tuu, waachie competition umeme utakuwa sio issue tena kama makampuni ya simu na serikali itapata kodi yake na wananchi watalipa fair prices, maji yapo kila kona lakini cha ajabu hatuna maji majumbani kwetu, lakini sishangai maana hata kupima viwanja na kutoa title ni issue, wenye akili hawataki kuingia siasa kubadilisha mambo tumebaki na wajinga tuu wanatutawala na tukubali TANESCO haina uwezo wa kuhudumia watu milioni 60
 
Nimekuwa nikijiuliza, hivi kama Taifa tunakwamia wapi?

Hivi Tanzania ya leo, ndiyo ihangaike kuwatafutia wananchi wake umeme na maji, baada ya kujitawala toka kwa mkoloni miaka 60 iliyopita?

Nchi iliyojaa rasilimali tele, kama vile mito inayotiririka maji mwaka mzima, maziwa matatu makubwa yanayoizunguka nchi.

Nchi ambayo ina gesi ya kumwaga zaidi ya ujazo wa 57trililioni cubic meters, ambayo ingetuwezesha kuwa na umeme wa uhakika, kwa Maisha yetu yote!

Na umeme mwingine tuwauzie majirani zetu ambao hawajajaliwa na Mungu kuwa na nishati hiyo ya gesi kama tuliyo nayo sisi!

Hivi tunakwama wapi, wakati kuna nchi, ambazo zipo maeneo ya majangwa yakipata maji bila Shida katika kipindi chote cha Maisha yao??

Tunakwama wapi, wakati kuna nchi ambazo hazina rasilimali ya nishati ya gesi, kama tuliyo nayo sisi, zikiwa na umeme wa uhakika kipindi chote bila kujali Hali ya hewa ya ukame??

Tuseme sisi tumepata laana toka kwa Mungu kuwa Katika Hali hii??

Nimetafakari yote hayo kwa uchungu mkubwa na kugundua kuwa nchi yetu ina tatizo kubwa la uongozi wa kudumu uliopo wa CCM

Hivi inawezekanaje kutokana na ukame tulio nao, anaibuka kiongozi mkubwa wa mamlaka za maji, anasema kuwa, mgawo wa maji utapungua, kama siyo kwisha kabisa, kwa kuwa tayari wameshawadhibiti wale waliokuwa wanamwagilia mashamba yao, na hivyo tayari mto wa Ruvu umejaa maji?!

Ukweli lazima usemwe, nchi yetu bila kupata Katiba mpya ya nchi, hatutoboi!

Tutaendelea kuhangaika na "petty issues" kwa Maisha yetu yote!

Taifa kutimiza miaka 60 ya uhuru tukiongozwa na watu wale wale mfano Yusufu makamba na January Makamba,Jemester Mhagama na mzee Mhagama, Nape na mzee Nape, Lusinde na mzee Lusinde, JK na Riziwani, Dr mwinyi na Mzee mwinyi. Akili ni ile ile hatufiki.​

 
Nimekuwa nikijiuliza, hivi kama Taifa tunakwamia wapi?

Hivi Tanzania ya leo, ndiyo ihangaike kuwatafutia wananchi wake umeme na maji, baada ya kujitawala toka kwa mkoloni miaka 60 iliyopita?

Nchi iliyojaa rasilimali tele, kama vile mito inayotiririka maji mwaka mzima, maziwa matatu makubwa yanayoizunguka nchi.

Nchi ambayo ina gesi ya kumwaga zaidi ya ujazo wa 57trililioni cubic meters, ambayo ingetuwezesha kuwa na umeme wa uhakika, kwa Maisha yetu yote!

Na umeme mwingine tuwauzie majirani zetu ambao hawajajaliwa na Mungu kuwa na nishati hiyo ya gesi kama tuliyo nayo sisi!

Hivi tunakwama wapi, wakati kuna nchi, ambazo zipo maeneo ya majangwa yakipata maji bila Shida katika kipindi chote cha Maisha yao??

Tunakwama wapi, wakati kuna nchi ambazo hazina rasilimali ya nishati ya gesi, kama tuliyo nayo sisi, zikiwa na umeme wa uhakika kipindi chote bila kujali Hali ya hewa ya ukame??

Tuseme sisi tumepata laana toka kwa Mungu kuwa Katika Hali hii??

Nimetafakari yote hayo kwa uchungu mkubwa na kugundua kuwa nchi yetu ina tatizo kubwa la uongozi wa kudumu uliopo wa CCM

Hivi inawezekanaje kutokana na ukame tulio nao, anaibuka kiongozi mkubwa wa mamlaka za maji, anasema kuwa, mgawo wa maji utapungua, kama siyo kwisha kabisa, kwa kuwa tayari wameshawadhibiti wale waliokuwa wanamwagilia mashamba yao, na hivyo tayari mto wa Ruvu umejaa maji?!

Ukweli lazima usemwe, nchi yetu bila kupata Katiba mpya ya nchi, hatutoboi!

Tutaendelea kuhangaika na "petty issues" kwa Maisha yetu yote!
Ni miezi nane tu imepita. Tutapata taabu sanaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Nchi hii ina matatizo makubwa Sana.

Hivi ni kwanini wananchi tunatozwa tozo kubwa Sana, kwenye miamala ya simu, wakati huduma za msingi za wananchi, kama vile umeme na maji hanna?
Bongolala is doomed, to say the least....
 
Na nguo hatujanyoosha pia bro, usisahau hilo
Hahaaaaa.......😁🤣

Yaani ni ajabu na kweli, baada ya miaka 60 ya uhuru, bado Taifa letu linawahangaikia wananchi wake kuwapatia umeme na maji!
 
Hapana kipara kipya
Hivi serikali hii inaona kipaumbele chake ni kuwanunua tu wapinzani, lakini hawana mpango wa kutenga fedha Katika miradi inayowanufaisha wananchi?

Bila Katiba mpya, wananchi tutaendelea kuchezewa Maisha yetu yote
Mkuu mpinzani aliyenunuliwa ni yupi?
 
Nimekuwa nikijiuliza, hivi kama Taifa tunakwamia wapi?

Hivi Tanzania ya leo, ndiyo ihangaike kuwatafutia wananchi wake umeme na maji, baada ya kujitawala toka kwa mkoloni miaka 60 iliyopita?

Nchi iliyojaa rasilimali tele, kama vile mito inayotiririka maji mwaka mzima, maziwa matatu makubwa yanayoizunguka nchi.

Nchi ambayo ina gesi ya kumwaga zaidi ya ujazo wa 57trililioni cubic meters, ambayo ingetuwezesha kuwa na umeme wa uhakika, kwa Maisha yetu yote!

Na umeme mwingine tuwauzie majirani zetu ambao hawajajaliwa na Mungu kuwa na nishati hiyo ya gesi kama tuliyo nayo sisi!

Hivi tunakwama wapi, wakati kuna nchi, ambazo zipo maeneo ya majangwa yakipata maji bila Shida katika kipindi chote cha Maisha yao??

Tunakwama wapi, wakati kuna nchi ambazo hazina rasilimali ya nishati ya gesi, kama tuliyo nayo sisi, zikiwa na umeme wa uhakika kipindi chote bila kujali Hali ya hewa ya ukame??

Tuseme sisi tumepata laana toka kwa Mungu kuwa Katika Hali hii??

Nimetafakari yote hayo kwa uchungu mkubwa na kugundua kuwa nchi yetu ina tatizo kubwa la uongozi wa kudumu uliopo wa CCM

Hivi inawezekanaje kutokana na ukame tulio nao, anaibuka kiongozi mkubwa wa mamlaka za maji, anasema kuwa, mgawo wa maji utapungua, kama siyo kwisha kabisa, kwa kuwa tayari wameshawadhibiti wale waliokuwa wanamwagilia mashamba yao, na hivyo tayari mto wa Ruvu umejaa maji?!

Ukweli lazima usemwe, nchi yetu bila kupata Katiba mpya ya nchi, hatutoboi!

Tutaendelea kuhangaika na "petty issues" kwa Maisha yetu yote!

60 years. Hivi wewe unaijua historia kweli. Hiyo Tanzania iko peke yake duniani. Mkuu utakuwa umepatwa na nini Usiku au ndo Level yako ya akili na kufikiri ilipoishia. Wewe una umri gani. Na umeshaifanyia nini Familia yako.
 
Ni aibu sana kwa awamu hii kufiikiri kwamba matatizo ya Taifa hili yatamalizwa na wawekezaji.
 
Taifa lipo kwenye mkanganyiko mkubwa unaotokana na sintofahamu ya umeme na maji, ambavyo sisi kama wananchi wa kawaida tulishasau kwamba ni changamoto kwa miaka yote ya Magufuli.

Tuwaombe viongozi mlioko madarakani achana na maneno ya kumzungumzia Magufuli kama chanzo cha matatizo hayo hiyo haitusaidii sisi, badala yake inawasaidia ninyi.

Sisi tunataka maji na umeme maana hizi porojo zenu hazitatusaidia chochote.
 
Back
Top Bottom