Ni aibu kuchagua Rais wa Tff ambaye anashindwa kutafuta hata mdhamini wa TPL

Ni aibu kuchagua Rais wa Tff ambaye anashindwa kutafuta hata mdhamini wa TPL

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Hivi walitumia vigezo gani walitumia kumchagua uyu ndugu karia

RAIS wa taasisi kubwa kama tff anashindwa kushwawishi wadhamin kuja kuwekeza pale
Yaani yupo yupo tu na program anazozileta zisizo kuwa na impact

Ligi imechezwa nusu lakini hata dalili ya sponsor Hakuna

Njaa ya vilabu vya ligi kuu imekua kali zaidi Hali inayosababisha ligi kudorora

Yaani toka Tenga ameondoka tff imezidi kudidimia
Wakati wa Tenga ligi ilichangamka mpira ulipiga hatua, timu ya Taifa ilionesha uhai

Akaja yule mzee malinzi akahatibu huyu naye sioni anachofanya

Sasa kama Rais hawezi kushawishi wadhamin atawezaje kusimamia mpira ukachezwa?

Hivi huyu mtu ilikuaje akaingia kwenye mpira? Anaujua kweli mpira au mpigaji tu

Yaani hii Tanzania yetu Ni pasua kichwa kwa kweli

Serikali imumulike huyu mtu isije kuwa anasubiria apate mdhamini ambaye atakuwa anapewa 10%


Kama naye anafanya hujuma wakati vilabu vinakula Vumbi ajumuishwe na malinzi
 
Hivi walitumia vigezo gani walitumia kumchagua uyu ndugu karia

RAIS wa taasisi kubwa kama tff anashindwa kushwawishi wadhamin kuja kuwekeza pale
Yaani yupo yupo tu na program anazozileta zisizo kuwa na impact

Ligi imechezwa nusu lakini hata dalili ya sponsor Hakuna

Njaa ya vilabu vya ligi kuu imekua kali zaidi Hali inayosababisha ligi kudorora

Yaani toka Tenga ameondoka tff imezidi kudidimia
Wakati wa Tenga ligi ilichangamka mpira ulipiga hatua, timu ya Taifa ilionesha uhai

Akaja yule mzee malinzi akahatibu huyu naye sioni anachofanya

Sasa kama Rais hawezi kushawishi wadhamin atawezaje kusimamia mpira ukachezwa?

Hivi huyu mtu ilikuaje akaingia kwenye mpira? Anaujua kweli mpira au mpigaji tu

Yaani hii Tanzania yetu Ni pasua kichwa kwa kweli

Serikali imumulike huyu mtu isije kuwa anasubiria apate mdhamini ambaye atakuwa anapewa 10%


Kama naye anafanya hujuma wakati vilabu vinakula Vumbi ajumuishwe na malinzi
Huyo rais wenu karia ni mpigaji tu kama waoigaji wengine hana jipya mpira umemshinda kuendesha uliona wapi ligi inaendeshwa bila mdhamini
 
Hafai hata kwa kurumagia vilabu njaa imezidi hera hamna itafika ck vitashindwa hata kushiriki baadhi ya mechi tunapokuendea
 
nasikia ana full support, aligombea na yule wa kujiangushaga huku kajibinua, tende halua halua
 
Uwekezaji huo haulipi siku hizi.

Nyie si mnalidekeza jiwe! endeleeni kukomaa
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hivi walitumia vigezo gani walitumia kumchagua uyu ndugu karia

RAIS wa taasisi kubwa kama tff anashindwa kushwawishi wadhamin kuja kuwekeza pale
Yaani yupo yupo tu na program anazozileta zisizo kuwa na impact

Ligi imechezwa nusu lakini hata dalili ya sponsor Hakuna

Njaa ya vilabu vya ligi kuu imekua kali zaidi Hali inayosababisha ligi kudorora

Yaani toka Tenga ameondoka tff imezidi kudidimia
Wakati wa Tenga ligi ilichangamka mpira ulipiga hatua, timu ya Taifa ilionesha uhai

Akaja yule mzee malinzi akahatibu huyu naye sioni anachofanya

Sasa kama Rais hawezi kushawishi wadhamin atawezaje kusimamia mpira ukachezwa?

Hivi huyu mtu ilikuaje akaingia kwenye mpira? Anaujua kweli mpira au mpigaji tu

Yaani hii Tanzania yetu Ni pasua kichwa kwa kweli

Serikali imumulike huyu mtu isije kuwa anasubiria apate mdhamini ambaye atakuwa anapewa 10%


Kama naye anafanya hujuma wakati vilabu vinakula Vumbi ajumuishwe na malinzi
Kikubwa ni Simba mwenzetu. Mengine yote ni mbwembe tu.
 
Huyu karia aliyekwa tff na ile mijizi na mijanja ‘friends of simba’ kwa kazi maalum ya kuhakikisha maslahi ya mnyama yanalindwa kwa miaka4 mfululizo
 
Hivi huyu ilikuwaje akachaguliwa... Profile yake ipoje kwenye mpira
Huyo rais wenu karia ni mpigaji tu kama waoigaji wengine hana jipya mpira umemshinda kuendesha uliona wapi ligi inaendeshwa bila mdhamini
 
Anailinda Yanga kuliko hata timu yake ya Coastal Union.Jana wamebadili ratiba eti mechi ya Yanga na JKT Tanzania itachezwa Dar tarehe 29 na hali ratiba inaonyesha mechi itachezwa Mkwakwani.JKT wamegoma kwani wao ndio wenyeji.
Hii ni mara ya pili ratiba inabadilishwa na Yanga kuwa mwenyeji.Mara ya kwanza ilikuwa ni mechi na Mtibwa. JKT wamesema wameingia gharama hawawezi kukubali.
Inawezekana jamaa wamekosa nauli inabidi ilazimishwe wacheze Dar ili nauli ipatikane.
 
Hivi walitumia vigezo gani walitumia kumchagua uyu ndugu karia

RAIS wa taasisi kubwa kama tff anashindwa kushwawishi wadhamin kuja kuwekeza pale
Yaani yupo yupo tu na program anazozileta zisizo kuwa na impact

Ligi imechezwa nusu lakini hata dalili ya sponsor Hakuna

Njaa ya vilabu vya ligi kuu imekua kali zaidi Hali inayosababisha ligi kudorora

Yaani toka Tenga ameondoka tff imezidi kudidimia
Wakati wa Tenga ligi ilichangamka mpira ulipiga hatua, timu ya Taifa ilionesha uhai

Akaja yule mzee malinzi akahatibu huyu naye sioni anachofanya

Sasa kama Rais hawezi kushawishi wadhamin atawezaje kusimamia mpira ukachezwa?

Hivi huyu mtu ilikuaje akaingia kwenye mpira? Anaujua kweli mpira au mpigaji tu

Yaani hii Tanzania yetu Ni pasua kichwa kwa kweli

Serikali imumulike huyu mtu isije kuwa anasubiria apate mdhamini ambaye atakuwa anapewa 10%


Kama naye anafanya hujuma wakati vilabu vinakula Vumbi ajumuishwe na malinzi
Amefanikiwa kufungia tu wenzake
 
Anailinda Yanga kuliko hata timu yake ya Coastal Union.Jana wamebadili ratiba eti mechi ya Yanga na JKT Tanzania itachezwa Dar tarehe 29 na hali ratiba inaonyesha mechi itachezwa Mkwakwani.JKT wamegoma kwani wao ndio wenyeji.
Hii ni mara ya pili ratiba inabadilishwa na Yanga kuwa mwenyeji.Mara ya kwanza ilikuwa ni mechi na Mtibwa. JKT wamesema wameingia gharama hawawezi kukubali.
Inawezekana jamaa wamekosa nauli inabidi ilazimishwe wacheze Dar ili nauli ipatikane.
Hiyo nikazi ya bodi ya league siyo karia
 
Back
Top Bottom