Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Kama jeuri ya manji mbona mishahara mpaka leo hawalipwi yaani nyie bwana ni manji tuuuuArudi mara ngapi,unadhani vijana wanavyoruka na mwewe kule kanda ya ziwa na kukaa hotel za kifahari ni jeuri ya nani!?