Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kibaya zaidi ndio vijana anaowaamini mwenyekiti, hivi Mbowe huyu Ntobi huoni kama anakuharibia hata hizo sifa chache ulizobakiza?
Sasa hivi chama kina watu walioamua kufanya “upinzani” bargaining chip
Tukapigania chama kwa juhudi kubwa . Tukapigwa , tukaumizwa , wenzetu wakafungwa wengine wakapotezwa na hata wengine kuuawa halafu ghafla tu tunapewa jibu la ovyo na Ntobi.
Ashukuliwe mhe. Lissu kwa kutufumbua macho, genge la kina Ntobi, Boniyai na vibaka wengine limejulikana!!
Sasa hivi chama kina watu walioamua kufanya “upinzani” bargaining chip
Tukapigania chama kwa juhudi kubwa . Tukapigwa , tukaumizwa , wenzetu wakafungwa wengine wakapotezwa na hata wengine kuuawa halafu ghafla tu tunapewa jibu la ovyo na Ntobi.
Ashukuliwe mhe. Lissu kwa kutufumbua macho, genge la kina Ntobi, Boniyai na vibaka wengine limejulikana!!