Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kutukana na kuongea uwongo, siyo sehemu ya maoni.Hayo ni maoni yake nanyi toeni yenu jaribuni kuheshimu mawazo ya watu!
Hiki chama ni shida imagine hadi wanawake ni vibaka kama wale waliochoma nguo mchana kweupe🙆♂️🙆♂️kibaya zaidi ndio vijana anaowaamini mwenyekiti, hivi mbowe huyu ntobi huoni kama anakuharibia hata hizo sifa chache ulizobakiza???
Sasa hivi chama kina watu walioamua kufanya “upinzani” bargaining chip
Tukapigania chama kwa juhudi kubwa . Tukapigwa , tukaumizwa , wenzetu wakafungwa wengine wakapotezwa na hata wengine kuuwawa alafu ghafla tu tunapewa jibu la hovyo na ntobi
ashukuliwe mhe. Lissu kwa kutufumbua macho,, genge la kina ntobi,boni na vibaka wengine limejulikana!!
😃😀😀Hiki chama ni shida imagine hadi wanawake ni vibaka kama wale waliochoma nguo mchana kweupe🙆♂️🙆♂️
Kwani watu walipokuwa wanasema viroba vifungiwe ulikuwa hukuelewa huyo ntobi wala hajaongopa yupo sahihi hiyo ndio Chadema wote ipo hivyo ,Mzee Juma Duni alikuwa sahihi kabisa maneno yake!Kutukana na kuongea uwongo, siyo sehemu ya maoni.
Ntobi ni mwongo na mnafiki. Amekidhalilisha chama kwa kusema kuwa mwaka 2020, katika kumpata mtu wa kukiwakilisha chama kwenye nafasi ya Urais, kilimtafuta mtu mwenye uwezo wa kuropoka. He, hiyo ni kweli? Yaani unaamini kuwa sifa pekee iliyokuwa inafautwa kwa mtu wa kugombea nafasi ya Urais mwaka 2020, ilikuwa ni uropokaji? Mbona huyu anaonekana kuwa ndiye mropokaji?
Chama kichukue hatua dhidi yake, kwa kauli ya kukidhalilisha mbele ya umma.
Naunga mkono hojaHata kama Jumamosi Mbowe atatangaza kuwa atagombea nafasi ya Mwenyekiti sisi sote twende na Lissu. Hatutaki Viongozi ambao ni ndumila kuwili. Huku wakijifanya waadilifu kumbe siyo.
kwani chama chenu hakina uhuru wa maoni? huo ni uhuru wa kuongea choxhote katika chama cha democrasiaKibaya zaidi ndio vijana anaowaamini mwenyekiti, hivi Mbowe huyu Ntobi huoni kama anakuharibia hata hizo sifa chache ulizobakiza?
Sasa hivi chama kina watu walioamua kufanya “upinzani” bargaining chip
Tukapigania chama kwa juhudi kubwa . Tukapigwa , tukaumizwa , wenzetu wakafungwa wengine wakapotezwa na hata wengine kuuawa halafu ghafla tu tunapewa jibu la ovyo na Ntobi.
Ashukuliwe mhe. Lissu kwa kutufumbua macho, genge la kina Ntobi, Boniyai na vibaka wengine limejulikana!!