Ni aibu kwa chama tawala chenye asili ya ukombozi kuwa na Wazee kama Yusuph Makamba ambao hawana huruma juu raia wanaoteswa na tozo na mgao wa umeme

Ni aibu kwa chama tawala chenye asili ya ukombozi kuwa na Wazee kama Yusuph Makamba ambao hawana huruma juu raia wanaoteswa na tozo na mgao wa umeme

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
CCM ni chama kikubwa hapa Africa na dunia nzima. Bahati nimezunguka mahala pengi hapa duniani. Ulikiwa ukienda Botswana, Zimbabwe au hata South Afriaca ulikuwa ukikutana na raia wa huko lazima wakuukize juu ya CCM ya akina Hashim Mbita (RIP) maana kilikuww ni chama kilichojaa utu na nia thabiti ya kumkomboa muafrika dhidi ya unyonyaji wa kila namna.

Leo hii CCM hii ya akina Hashim Mbita ambayo iliasisiwa ili kumkomboa mtanzannia dhidi ya unyonyaji wa kila namna ina wazee ambao wanaona furaha raia wanyonge kunyonywa.

Tulitegemea wazee kama Yusuph Makamba wawe wanapata kero taifa linapokiwa na tozo kandamizi, mgao wq umeme usio na kichwa wala miguu. Harufu za ufisadi zilizowazi. Maana huko nyuma misingi ya chama hiki ni kumbmkomboa mnyonge.
 
..Ccm imeshayatupa mkono masuala ya ukombozi.

..sasa hivi Ccm imeungana na MOROCCO ambayo inaikalia kimabavu Sahara Magharibi.
Ukombozi ni pamoja na kutetea wanyonge
 
CCM ni chama kikubwa hapa Africa na dunia nzima. Bahati nimezunguka mahala pengi hapa duniani. Ulikiwa ukienda Botswana, Zimbabwe au hata South Afriaca ulikuwa ukikutana na raia wa huko lazima wakuukize juu ya CCM ya akina Hashim Mbita (RIP) maana kilikuww ni chama kilichojaa utu na nia thabiti ya kumkomboa muafrika dhidi ya unyonyaji wa kila namna.

Leo hii CCM hii ya akina Hashim Mbita ambayo iliasisiwa ili kumkomboa mtanzannia dhidi ya unyonyaji wa kila namna ina wazee ambao wanaona furaha raia wanyonge kunyonywa.

Tulitegemea wazee kama Yusuph Makamba wawe wanapata kero taifa linapokiwa na tozo kandamizi, mgao wq umeme usio na kichwa wala miguu. Harufu za ufisadi zilizowazi. Maana huko nyuma misingi ya chama hiki ni kumbmkomboa mnyonge.
Ni kweli watu wema hawafi. Hata wakifa wanaendelea kuishi kwenye mioyo ya watu.

Tafuta ndimu upunguze stress. Kauli ya Mzee imewavuruga kabisa. Kwni alimaanisha nini mkuu? Mbona mmepanic sana?
 
Ni kweli watu wema hawafi. Hata wakifa wanaendelea kuishi kwenye mioyo ya watu.

Tafuta ndimu upunguze stress. Kauli ya Mzee imewavuruga kabisa. Kwni alimaanisha nini mkuu? Mbona mmepanic sana?
Jikite kwenye mada. Kama umepotea njia kachambie ndimu mnyeo
 
..Ccm sio kimbilio la wanyonge tena.

..chama kipo kulinda maslahi ya wenye nacho.
Huko mbele nguvu ya umma itanyanyuka. Haya mambo hata ulaya yalikuwepo huko miaka 1600
 
CCM ni chama kikubwa hapa Africa na dunia nzima. Bahati nimezunguka mahala pengi hapa duniani. Ulikiwa ukienda Botswana, Zimbabwe au hata South Afriaca ulikuwa ukikutana na raia wa huko lazima wakuukize juu ya CCM ya akina Hashim Mbita (RIP) maana kilikuww ni chama kilichojaa utu na nia thabiti ya kumkomboa muafrika dhidi ya unyonyaji wa kila namna.

Leo hii CCM hii ya akina Hashim Mbita ambayo iliasisiwa ili kumkomboa mtanzannia dhidi ya unyonyaji wa kila namna ina wazee ambao wanaona furaha raia wanyonge kunyonywa.

Tulitegemea wazee kama Yusuph Makamba wawe wanapata kero taifa linapokiwa na tozo kandamizi, mgao wq umeme usio na kichwa wala miguu. Harufu za ufisadi zilizowazi. Maana huko nyuma misingi ya chama hiki ni kumbmkomboa mnyonge.
MZEE Anakula matunda ya Uchawa
 
CCM ni chama kikubwa hapa Africa na dunia nzima. Bahati nimezunguka mahala pengi hapa duniani. Ulikiwa ukienda Botswana, Zimbabwe au hata South Afriaca ulikuwa ukikutana na raia wa huko lazima wakuukize juu ya CCM ya akina Hashim Mbita (RIP) maana kilikuww ni chama kilichojaa utu na nia thabiti ya kumkomboa muafrika dhidi ya unyonyaji wa kila namna.

Leo hii CCM hii ya akina Hashim Mbita ambayo iliasisiwa ili kumkomboa mtanzannia dhidi ya unyonyaji wa kila namna ina wazee ambao wanaona furaha raia wanyonge kunyonywa.

Tulitegemea wazee kama Yusuph Makamba wawe wanapata kero taifa linapokiwa na tozo kandamizi, mgao wq umeme usio na kichwa wala miguu. Harufu za ufisadi zilizowazi. Maana huko nyuma misingi ya chama hiki ni kumbmkomboa mnyonge.
Yusufu Makamba ni muhuni kuanzia utotoni. Hekima hailetwi na umri ila mwenendo bora.
Wahuni pia huzeeka
 
Back
Top Bottom