Ni aibu kwa Clouds TV kutokuelewa vigezo vya African Football League

Ni aibu kwa Clouds TV kutokuelewa vigezo vya African Football League

Kama hoja yako ni point, niambie kati ya Enyimba na Asec Mimosa ni nani mwenye point nyingi? Au Rivers united na Enyimba ni yupi mwenye point nyingi?
Enyimba anamzidi points Asec.... Kwa Rivers vipo vigezo vingine kama club history, investments, management, equipments na mashabiki n.k
 
Naendelea kufuatilia why Enyimba.
1.Enyimba anaingia kama replacement ya Horoya ambaye baada ya ukaguzi alifeli.
Hakufikisha Vigezo licha ya kuwa juu kwenye rank.
So utakapojadili kuhusu Enyimba, remember kuwa ni replacement ya Horoya ( If horoya angekuwa tayari kimiundombinu haya majadiliano Yasingekuwepo)
 
Enyimba anamzidi points Asec.... Kwa Rivers vipo vigezo vingine kama club history, investments, management, equipments na mashabiki n.k
Enyimba ana point ngapi na Asec ana point ngapi?
Mimi kwenye source nilizoona zimeonesha kuwa Asec ndio kamzidi Enyimba point.
Asec ni wa 19 ana point 20 huku Enyimba akiwa wa 33 akiwa na point 10.

 
Naendelea kufuatilia why Enyimba.
1.Enyimba anaingia kama replacement ya Horoya ambaye baada ya ukaguzi alifeli.
Hakufikisha Vigezo licha ya kuwa juu kwenye rank.
So utakapojadili kuhusu Enyimba, remember kuwa ni replacement ya Horoya ( If horoya angekuwa tayari kimiundombinu haya majadiliano Yasingekuwepo)
Ndo huyo Enyimba sasa aliyekidhi vigezo kama hutaki chukua timu yako ipeleke Kanda ya magharibi na inshaallah msimu ujao mnaeza shiriki AFL maana ndio ukanda dhaifu zaidi ukifuatiwa na ukanda wa kati kwa ngazi ya vilabu kwa hivi karibuni....
 
Enyimba ana point ngapi na Asec ana point ngapi?
Mimi kwenye source nilizoona zimeonesha kuwa Asec ndio kamzidi Enyimba point.
Asec ni wa 19 ana point 20 huku Enyimba akiwa wa 33 akiwa na point 10.

Enyimba yupo hapo kwa kuwa aliyekuwa rank ya Juu ( Horoya) hajakidhi vigezo
Alivyoondolewa nafasi yake ikachukuliwa na Enyimba.
 
Kabla ya kiwashambulia ulipaswa uje utuwelezee vigezo hivyo wasivyovijua wao na unavyovijua wewe... Inawezekana wewe ndio ukawa hujui kitu unakuja na mihemko ya k vant.

Hebu tutajie hivyo vigezo vilivyomfanya Enyimba kuwa super league au mazembe.
Nashangaa maana sio kila mtu amesikiliza
 
1. Record ya miaka angalau 4 ya timu katika mashindano ya CAF.
2.Wingi wa mashabaiki , kwa ajili ya uuzaji wa tiketi.
NB:Sherehe nzuri ni ile yenye watu wengi.
Bonanza sasa hilo
 
Amna akuna mtu aliyebisha ukanda wa afrika mashariki kuwakilishwa na simba ndugu hoja sio hii nenda kwenye hoja ya ule ukanda kwa Nini ni enyimba na sio wengine uku utakua unapiga marktime tu
Kuna sehemu nimeongelea kuhusu Yanga? Hoja ni Enyimba kwenye ukanda wake kazidiwa na Asec wewe umesema kuwa kwenye miaka 5 Asec hafurukuti kwa Enyimba kwa mafanikio. Sasa lete hiyo 5 years ranking yako ikionesha Enyimba yupo juu ya Asec.
Tunajua bado mmeumia sana Yanga yenu kutojumuishwa. Mnatumia angle ya Enyimba kujaribu kuyadiscredit mashindano kuwa ni mashindano ambayo timu zimechaguliwa bila kuzingatia viwango wala rekodi zao. Mnadhani watu ni wajinga, nyie mnajua zaidi ya CAF? Nimewawekea mkeka wa miaka mitano wa hizo timu mbili, halafu niambie nani amekuwa na level za juu za mafanikio kwa mfululizo kuizidi Enyimba.

Yaani uache timu iliyofika robo fainali mara mbili na nusu mara moja ndani ya miaka 5 kwa timu ambayo imefika tu nusu mara moja? ASEC inaheshimika ila kwa jinsi mashindano haya ya awamu ya kwanza yalivyo, wasingeweza kuichukua over Enyimba. Hao Enyimba wameshinda Champions League mara mbili na Super Cup mara mbili, ndiyo Yanga mnataka mjilinganishe nao kwa fluke yenu ya mwaka jana tena hata ubingwa wenyewe hamkuchukua halafu kibaya zaidi shirikisho? Tuonyesheni wapi ASEC wanalalamika kwa nini hawajachaguliwa wao, nyie ndiyo mna uchungu kuliko wenye timu yao?

Wewe changaule si ndiyo ulikuwa unahoji fainali ya Simba kisa umemsikia commentator kwenye mechi, nikakwambia ingia kwenye official website ya CAF uangalie wameandika nini kuhusu rekodi za Simba ukagoma ili tu uendelee kupata cha kusema?

Mimi nimemalizana na huu mjadala, endeeeni na wengine.
 
Clouds huwa nasikiliza POWER BREAKFAST na SPORTS EXTRA .
 
Sijaelewa swali lako. Kama unataka kuwalinganisha na ASEC, angalia mafanikio ya Enyimba kati ya 2003-2021 na yale ya ASEC.
So wamefata record ya mwaka 2003? wewe kweli akili zimo?
 
Tunajua bado mmeumia sana Yanga yenu kutojumuishwa. Mnatumia angle ya Enyimba kujaribu kuyadiscredit mashindano kuwa ni mashindano ambayo timu zimechaguliwa bila kuzingatia viwango wala rekodi zao. Mnadhani watu ni wajinga, nyie mnajua zaidi ya CAF? Nimewawekea mkeka wa miaka mitano wa hizo timu mbili, halafu niambie nani amekuwa na level za juu za mafanikio kwa mfululizo kuizidi Enyimba.

Yaani uache timu iliyofika robo fainali mara mbili na nusu mara moja ndani ya miaka 5 kwa timu ambayo imefika tu nusu mara moja? ASEC inaheshimika ila kwa jinsi mashindano haya ya awamu ya kwanza yalivyo, wasingeweza kuichukua over Enyimba. Hao Enyimba wameshinda Champions League mara mbili na Super Cup mara mbili, ndiyo Yanga mnataka mjilinganishe nao kwa fluke yenu ya mwaka jana tena hata ubingwa wenyewe hamkuchukua halafu kibaya zaidi shirikisho? Tuonyesheni wapi ASEC wanalalamika kwa nini hawajachaguliwa wao, nyie ndiyo mna uchungu kuliko wenye timu yao?

Wewe changaule si ndiyo ulikuwa unahoji fainali ya Simba kisa umemsikia commentator kwenye mechi, nikakwambia ingia kwenye official website ya CAF uangalie wameandika nini kuhusu rekodi za Simba ukagoma ili tu uendelee kupata cha kusema?

Mimi nimemalizana na huu mjadala, endeeeni na wengine.
Mbona unachanganya mada, usiwe mtu wa maneno mengi mara Yanga mara fainali za Simba. Baki kwenye msingi wa hoja yako. Onesha 5 years ranking ikimuonesha Enyimba yupo juu ya Asec Mimosa. Wikipedia inaonesha Asec ni wa 19.
 
Mbona unachanganya mada, usiwe mtu wa maneno mengi mara Yanga mara fainali za Simba. Baki kwenye msingi wa hoja yako. Onesha 5 years ranking ikimuonesha Enyimba yupo juu ya Asec Mimosa. Wikipedia inaonesha Asec ni wa 19.
Endelea mabishano na wenye muda huo mimi nimemaliza. Usisahau pia kuwatumia link inayoonyesha CAF wamesema rank ya miaka mitano imetumika kuchagua timu. Halafu mwenzio kashauri usitumie wikipedia kwa hiyo link hiyo iwe ya kutoka CAF.
 
Ni wewe tu umeamua kuwa mbishi unaweza kueleza kigezo cha Enyimba kushiriki hii michuano?
Baadhi ya vigezo alivyotoa Rais wa CAF kule Ivory Coast Ni pamoja na:

1. Mfululizo wa mafanikio katika Misimu mitano ya karibuni ktk michuano ya CAF.

2. Wasifu wa timu na Fan base/wingi wa mashabiki.

Nb: hakuna haja ya kubishana Sana , Hakuna timu inaweza kuchaguliwa na taasisi kubwa km CAF halafu CAF wawe hawana vigezo. .
 
Baadhi ya vigezo alivyotoa Rais wa CAF kule Ivory Coast Ni pamoja na:

1. Mfululizo wa mafanikio katika Misimu mitano ya karibuni ktk michuano ya CAF.

2. Wasifu wa timu na Fan base/wingi wa mashabiki.

Nb: hakuna haja ya kubishana Sana , Hakuna timu inaweza kuchaguliwa na taasisi kubwa km CAF halafu CAF wawe hawana vigezo. .
Unaiona Enyimba kwenye hizo criteria?
 
hiyo sio tv ya watu wazima, ni ya watoto.
Upo sahihi kabisa.
Hiyo TV na Radio Station ni kwa ajili ya watoto wenye ndoto za kuwa wanamuziki wa bongo flava.

Ni uharibifu wa afya ya akili na mwili kusikiliza makelele yao.
 
Back
Top Bottom