Ni aibu kwa hospitali kubwa kama hii

Ni aibu kwa hospitali kubwa kama hii

Kibwetelo

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2018
Posts
732
Reaction score
599
Habari wakuu,

Leo nimeamua kuwachana live maana mmezidi hii ni mara ya pili Mama angu amepewa dawa zilizoisha mda wake shame on you tena wauaji wakubwa.

Mama 'angu amekua akisumbuliwa na kisukari so hua anachukulia dawa katka Hospital ya ILEMBULA kwa hili hapana hao watu wanaoiba dawa kwa kuwapatia dawa wagonjwa zilizoisha muda wakesi.

Wito wangu kwa mamlaka husika wakafanye uchunguzi hasa kwa watu wanao tumia BIMA huku ndo wanakonyongea watu sanaa.

Huyu anaetoa dawa zilizoisha mda anauza dawa.

Mnajiharibia sanaa CV yenu.

Acheni uuaji huu Mungu anawaona pia kumbukeni malipo hapahapa utakufa hata kabla ya kumuua mgonjwa wa kisukari.
 
Duuh hii inabidi mamlaka wawe nayo makini sana na wachukua hatua mapema sana. Sasa angalau wewe unapata hata mda wa kusoma dawa zinaexpire lini. Imagine wale ambao hua hawasomi, wakipewa wanatumia tu, zitakua zimesababisha madhara kiasi gani?
 
Watafutwe, wachukuliwe hatua kali sana za kisheria na kinidhamu kwa kuchezea afya za watu.
 
duuh hii inabidi mamlaka wawe nayo makini sana na wachukua hatua mapema sana. Sasa angalau wewe unapata hata mda wa kusoma dawa zinaexpire lini..imagine wale ambao hua hawasomi, wakipewa wanatumia tu, zitakua zimesababisha madhara kiasi gani?
Yaan kuna mchezo mchafu unafanyika watu wanauza zile dawa watu wasiotimia bima.
 
Aisee hebu kawashtaki hilo si jambo la mzaha hata kidogo, haya wewe umesoma, wale wenzangu na mimi ambao hawajui hata "a" si ndio wanajifia masikinii...hapana fanya kitu please zaidi ya hiki kuwaokoa na wengine.
 
Mkuu, kuna Mfamasia kanambia dawa ikiandikwa ina expire mwezi wa 5 let say, huwa inakua na muda mwingine kama miez 6 before itupwe, ko nadhani itakua vyema kama ukaonana na Mfamasia wa wilaya husika na kumpa hizo dawa then yeye atoe neno lake, na hatua zaidi.
Kazi njema
 
Mkuu, kuna Mfamasia kanambia dawa ikiandikwa ina expire mwezi wa 5 let say, huwa inakua na muda mwingine kama miez 6 before itupwe, ko nadhani itakua vyema kama ukaonana na Mfamasia wa wilaya husika na kumpa hizo dawa then yeye atoe neno lake, na hatua zaidi.
Kazi njema
Asante kwa mkuu ngoja nijaribu kumwona kwanza huyo mfamasia
 
Mkuu, kuna Mfamasia kanambia dawa ikiandikwa ina expire mwezi wa 5 let say, huwa inakua na muda mwingine kama miez 6 before itupwe, ko nadhani itakua vyema kama ukaonana na Mfamasia wa wilaya husika na kumpa hizo dawa then yeye atoe neno lake, na hatua zaidi.
Kazi njema
Shukran kwa ushauri docta kasema bado mda wa ziada mpaka mwezi wa tano nadhan kunakua na 1 month extra baada ya mda ulioandikwa ila nataka nipate mda wa kuonana na mfamasia ili anielekeze kwa kina zaidi
 
Back
Top Bottom