Ni aibu kwa hospitali kubwa kama hii

Pole sana mkuu, lkn kuna special thread ya Wizara ya afya humu, pale ni rahisi sana kufuatilia!
 
Ni ile Ilembula iliyokuwa chini ya mzungu wa Ikonda wakamnyang'anya?
Haya mambo sijawahi kuyasikia hosptali zinazoeleweka.
 
Mto wetu unakauka

River/Liver si drying


Sijui mto wa kulalia

View attachment 1751491



Sitaki kupitwa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…