Ni aibu kwa Polisi kuendelea kuzingira ofisi za CHADEMA wakati kuna uhalifu wa watu kutekwa unaendelea

Ni aibu kwa Polisi kuendelea kuzingira ofisi za CHADEMA wakati kuna uhalifu wa watu kutekwa unaendelea

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Jeshi la Polisi Tanzania limeonekana likizingira ofisi za CHADEMA Mikocheni hadi leo hii sijui sababu hasa za kufanya hivi ni nini. Kuna matukio mengi ya uhalifu yanaendelea nchini ni vyema polisi wakasambazwa kushughulikia matukio haya kama walivyasambazwa kushughulika na waandamanaji.
 
Wameamlishwa na mamlaka kutoka juu ,watafanyaje?
 
Back
Top Bottom