Ni Aibu Kwa Tanzania Kuzidiwa na Uganda, Rwanda na Kenya Kuvutia Utalii wa Mikutano Wakati tuna Utajiri wa Vivutio vya Utalii

Yule mkurugenzi wa AICC aliyehamishwa juzijuzi, Mr Efraim Mafuru angetufikisha mbali sana kwenye hii Sekta. Alikuwa anaiona kesho kabla wengine hawajaamka.
Kabisa ni mtu mwenye maono na connection sana
 
Kuna mtu amewahi highlight hili, cost za utalii tz ziko juu kuliko nchi nyingine east africa, na cost haziendani na huduma wanazopata.
Wasimamizi wengi hawajasoma ujasiriamali. In entrepreneurship we learn how to do business not about business
 
Tanzania ni nchi iliyo jaa viongozi vilaza kuwahi kutokea lakin ni nchi yenye wajinga wengi zaid
 
Wasimamizi wengi hawajasoma ujasiriamali. In entrepreneurship we learn how to do business not about business
Hiyo ni irrelevant, elimu ya ujasiria mali si kigezo. Wengi hawajui namna ya kuwavuta wawekezaji kwa kuja na mfumo ambao una adopt current financial state ya dunia.
In other words , system iko rigid ,static haiendani na upepo uliopo
 
Ivi kumbe royal tour haijasadia kitu ilikuwa ni upigaji.
Watu wanateuana kwa kujuana na sio kwa ajili ya uwezo wake wa utendaji. Na Maza alisema uongozi hata kuku anaweza akawa kiongozi elimu sio lazima sana na huku mtendaji wa kata yeye anatakiwa awe na elimu ya diploma Ila mbunge hata la saba anatosha Mana ni uwezo.

Kikubwa saivi ni kufundisha vijana wajue uchawa unalipa. Unaweza ukamfungia Abdul kamba za viatu ukapata teuzi.

Kama binti akaajaliwa ukuu wa wilaya and regional commission ni kugusa mno.


Nyie someni kumbe hata la nne tu anatosha kuongoza Mana uongozi ni kipawa.


Haya yote Kuna kazee kamoja kametupelekea hapa
 
Hiyo ni irrelevant, elimu ya ujasiria mali si kigezo. Wengi hawajui namna ya kuwavuta wawekezaji kwa kuja na mfumo ambao una adopt current financial state ya dunia.
In other words , system iko rigid ,static haiendani na upepo uliopo
PEC'S, personal entrepreneurial competences include Adapbility skills, this is my area of competence, I also have my innovation why business fail with possible solutions. Walioko kwenye huo mnyororo wa maamuzi Ndiyo tatizo
 
Angalia status ya nchi wakati mji unapewa hadhi , ulikuwa bado upo kweny kangara za mzee wako .
Acheni uvivu pambaneni msilaumu Arusha na Kilimanjaro kule watu wana akili ndio maana kuna utalii. Kama mbuga zipo hadi iringa, morogoro, lindi na ruvuma uliza kwanin watalii hamna?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…