Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Unataka watu wakashangae maji ya bahari? Aun unafikiri bahari ipo huko kijijini mafia tu?Fukwe zote hizi coastal regions , mmekomalia utalii wa maporini huko Arusha mtapata wapi ushawishi? ...Srikali ichague mikoa ya pwani kama miwili then itoe promo katika kutambulika kama sehemu za utalii tuanze na pwani kupitia wilaya ya Mafia.
Nan kalaumu Arusha mbona una chuki za kishamba , nimesema wazidi kutanua utalii mpaka wa beaches ...Punguza kukariri watu .Acheni uvivu pambaneni msilaumu Arusha na Kilimanjaro kule watu wana akili ndio maana kuna utalii. Kama mbuga zipo hadi iringa, morogoro, lindi na ruvuma uliza kwanin watalii hamna?
Unaambiwa Fukwe unasema maji π π walimu wa Tanzania wanapata changamoto sana kufundishaUnataka watu wakashangae maji ya bahari? Aun unafikiri bahari ipo huko kijijini mafia tu?
Soma kwanza cha kukurupuka kama umekunywa maji ya choo , Arusha pekee haitaoshi Tanzania kufika mbali kweny utalii bado kuna sehemu nyingine zinatakiwa kuwekezwa ....Kaangalie Fukwe zinavyoingia watu pesa ndefu mambo ya wanyama ni zamani.uvivu wenu mnalaumu wengine ndio maana mnaolewa
Wapi nimesema Arusha inatosha? We unalaumu na kuisimanga Arusha eti maporini huko pwani kuna mji kama Arusha? Ukiacha Dar?? Utalii kufubaa pwani ni kosa la watu wa Arusha?Soma kwanza cha kukurupuka kama umekunywa maji ya choo , Arusha pekee haitaoshi Tanzania kufika mbali kweny utalii bado kuna sehemu nyingine zinatakiwa kuwekezwa ....Kaangalie Fukwe zinavyoingia watu pesa ndefu mambo ya wanyama ni zamani.
Wazungu wa zoo kibao
Ni kumshabikia mama hata pale ambapo hafanyi vizuri watu wanaimba tu, 'Mama anaupiga mwingi'.Uchawa ndio nini?
Kama wapi ambapo anashabiliwa na hajafanya vizuri?Ni kumshabikia mama hata pale ambapo hafanyi vizuri watu wanaimba tu, 'Mama anaupiga mwingi'.
Kuwateua januari na nape kwenye baraza la mawaziri.Kama wapi ambapo anashabiliwa na hajafanya vizuri?
Wamefanyaje hao uliowataja?Kuwateua januari na nape kwenye baraza la mawaziri.
Sisi hela za kujenga facilities za mikutano makamba anaenda kujenga real estate Kenya na Congo yule dogo sijui anakili au matopeShirikisho la Kimataifa la Biashara ya Utalii wa Mikutano ICCA limezitaja Nchi 4 muhimu Kwa biashara ya Utalii wa Mikutano Barani Afrika ambapo Afrika Kusini inaongoza.
Cha kushangaza Tanzania imeshika imeshika nafasi ya 5 ikizidiwa na Nchi za Rwanda,Uganda na Kenya.
My Take
January Amefuta Mradi wa Kujenga Kumbi kubwa na za Kisasa za Kilimanjaro International Convention Centre-Arusha badala yake ameelekeza Kodi zetu kujenga Magorofa kwenye Nchi za watu Kwa madai kwamba tutaingiza pesa.
Pesa zipi wakati biashara tunaiacha nyumbani? Hatuwezi kuwa Taifa ambalo hatuna consistency Kila mtu anakuja na mipango yake.Tukatae upigaji huu Mpya wa Bwana January.Pia soma Utalii wa Mikutano na Makongamano(MICE): Tanzania yapanda hadi namba 5 Africa kutoka namba 15
=====
The International Congress and Convention Association (ICCA) has released its 2024 ranking for the most popular destination for important meetings in 2023. The ranking, released on May 13, 2024, recognised South Africa as the most popular destination for important meetings in 2023.
According to ICCAβs Africa Geographical Ranking, South Africa emerged as leader, followed by Rwanda, Kenya, Egypt, and Uganda as the top five most popular destinations for important meetings in 2023. The other African countries in the top 10 rankings were Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Ethiopia, Mozambique, and Niger.
Despite being Africaβs largest market by size, Nigeria was ranked the 14th most popular destination for important meetings in 2023. The ICCA noted that while geographical divisions serve administrative purposes, they may not always align with the collective interests and potential of regions.
Commenting on the report, Senthil Gopinath, CEO of ICCA, said the ICCA team reviewed all the meetings submitted by members, resulting in a report that includes over 10,000 meetings in calendar year 2023.
βOur research team has performed exceptionally in compiling this comprehensive data. Itβs a cornerstone for our association, providing invaluable insights that empower our members and enhance our communityβs strategic positioning.β
Gopinath highlighted the importance of these rankings, stating, βInternational meetings and events can bring positive outcomes to all corners of the globe, and ICCA looks forward to continuing its role as a vehicle for change.β
To foster collaboration and enhance the visibility of certain regions on the international stage, the ICCA introduced an alternative ranking system that distinguishes geographical regions from ICCA Chapter Regions. The rankings were based on its 2023 ICCA Business Analytics Country and City Rankings
Wewe si umetoa mfano mmoja wa alichofanya januari hapo juu? Kwani ulikuwa unatoa mfano wa ufisadi wake ili iweje?Wamefanyaje hao uliowataja?
Bimkora ndio nani?Wapi nimesema Arusha inatosha? We unalaumu na kuisimanga Arusha eti maporini huko pwani kuna mji kama Arusha? Ukiacha Dar?? Utalii kufubaa pwani ni kosa la watu wa Arusha?
Mwambieni bimkora apambane
Wapi nimelaumu ? Nimekuambia ufanyiwe promo sehemu nyingine kama pwani , kule zanzibar na huko Arusha kwenu wapi kuna watalii wengi?Wapi nimesema Arusha inatosha? We unalaumu na kuisimanga Arusha eti maporini huko pwani kuna mji kama Arusha? Ukiacha Dar?? Utalii kufubaa pwani ni kosa la watu wa Arusha?
Mwambieni bimkora apambane
Ulisema Arusha ni maporini sasa ndio ujue watalii wamependa hizo pori wakiwepo mabwana zake waarabu ( Mfalme wa Dubai ana hunting block) Arusha. Pwani tafuteni mbinu ya kuvuta watalii sio kulaumu waliofanikiwaWapi nimelaumu ? Nimekuambia ufanyiwe promo sehemu nyingine kama pwani , kule zanzibar na huko Arusha kwenu wapi kuna watalii wengi?
Punguza ushamba , bora ukae kimya , kaangalie Mombasa kama unaweza kufanansha na takataka yako .!
Kununue gazeti la majira utamuonaBimkora ndio nani?
Sasaivi ndio hakuna kitu kabsaa, tunalalamika uzembe na uvuvi ulioko kwenye ofisi za serikali lkn ukiangalia kwa makini ni vijana hawahawa wa 1990 ndio wengi maofisini na ndio wavivu kupindukia.Tunawaambia kila siku Elimu tunayotoa kwa wasomi wetu haikidhi mahitaji ya Dunia ya sasa. Mnajisifia Nimesoma UDOM , UDSM Wakati kichwani hamna kitu
Kule utalii gani zaidi ya mapori π π π ...Wakati inapewa hadhi ya utalii ulikuwa wapi ?AU hujui ?Ulisema Arusha ni maporini sasa ndio ujue watalii wamependa hizo pori wakiwepo mabwana zake waarabu ( Mfalme wa Dubai ana hunting block) Arusha. Pwani tafuteni mbinu ya kuvuta watalii sio kulaumu waliofanikiwa
Kwani utalii ni nini kwako??Kule utalii gani zaidi ya mapori π π π ...Wakati inapewa hadhi ya utalii ulikuwa wapi ?AU hujui ?
Zanzibar kuna maporin? Zenji ipo juu kuliko porini kwenuKwani utalii ni nini kwako??
Mapori sio sehem ya vivutio? Alaf unakariri mkoa wa Arusha/Manyara sehem kubwa ni semi arid savanna wala hakuna mapori