Ni Aibu Kwa Tanzania Kuzidiwa na Uganda, Rwanda na Kenya Kuvutia Utalii wa Mikutano Wakati tuna Utajiri wa Vivutio vya Utalii

Ni Aibu Kwa Tanzania Kuzidiwa na Uganda, Rwanda na Kenya Kuvutia Utalii wa Mikutano Wakati tuna Utajiri wa Vivutio vya Utalii

Fukwe zote hizi coastal regions , mmekomalia utalii wa maporini huko Arusha mtapata wapi ushawishi? ...Srikali ichague mikoa ya pwani kama miwili then itoe promo katika kutambulika kama sehemu za utalii tuanze na pwani kupitia wilaya ya Mafia.
Unataka watu wakashangae maji ya bahari? Aun unafikiri bahari ipo huko kijijini mafia tu?
 
Acheni uvivu pambaneni msilaumu Arusha na Kilimanjaro kule watu wana akili ndio maana kuna utalii. Kama mbuga zipo hadi iringa, morogoro, lindi na ruvuma uliza kwanin watalii hamna?
Nan kalaumu Arusha mbona una chuki za kishamba , nimesema wazidi kutanua utalii mpaka wa beaches ...Punguza kukariri watu .

Unachukia kwani mji ni wa baba ako ?
 
uvivu wenu mnalaumu wengine ndio maana mnaolewa
Soma kwanza cha kukurupuka kama umekunywa maji ya choo , Arusha pekee haitaoshi Tanzania kufika mbali kweny utalii bado kuna sehemu nyingine zinatakiwa kuwekezwa ....Kaangalie Fukwe zinavyoingia watu pesa ndefu mambo ya wanyama ni zamani.

Wazungu wa zoo kibao
 
Soma kwanza cha kukurupuka kama umekunywa maji ya choo , Arusha pekee haitaoshi Tanzania kufika mbali kweny utalii bado kuna sehemu nyingine zinatakiwa kuwekezwa ....Kaangalie Fukwe zinavyoingia watu pesa ndefu mambo ya wanyama ni zamani.

Wazungu wa zoo kibao
Wapi nimesema Arusha inatosha? We unalaumu na kuisimanga Arusha eti maporini huko pwani kuna mji kama Arusha? Ukiacha Dar?? Utalii kufubaa pwani ni kosa la watu wa Arusha?
Mwambieni bimkora apambane
 
Shirikisho la Kimataifa la Biashara ya Utalii wa Mikutano ICCA limezitaja Nchi 4 muhimu Kwa biashara ya Utalii wa Mikutano Barani Afrika ambapo Afrika Kusini inaongoza.

Cha kushangaza Tanzania imeshika imeshika nafasi ya 5 ikizidiwa na Nchi za Rwanda,Uganda na Kenya.

My Take
January Amefuta Mradi wa Kujenga Kumbi kubwa na za Kisasa za Kilimanjaro International Convention Centre-Arusha badala yake ameelekeza Kodi zetu kujenga Magorofa kwenye Nchi za watu Kwa madai kwamba tutaingiza pesa.

Pesa zipi wakati biashara tunaiacha nyumbani? Hatuwezi kuwa Taifa ambalo hatuna consistency Kila mtu anakuja na mipango yake.Tukatae upigaji huu Mpya wa Bwana January.Pia soma Utalii wa Mikutano na Makongamano(MICE): Tanzania yapanda hadi namba 5 Africa kutoka namba 15

=====
The International Congress and Convention Association (ICCA) has released its 2024 ranking for the most popular destination for important meetings in 2023. The ranking, released on May 13, 2024, recognised South Africa as the most popular destination for important meetings in 2023.
South Africa ranked No. 1 destination for important meetings in Africa, Nigeria falls to 14th

According to ICCA’s Africa Geographical Ranking, South Africa emerged as leader, followed by Rwanda, Kenya, Egypt, and Uganda as the top five most popular destinations for important meetings in 2023. The other African countries in the top 10 rankings were Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Ethiopia, Mozambique, and Niger.

Despite being Africa’s largest market by size, Nigeria was ranked the 14th most popular destination for important meetings in 2023. The ICCA noted that while geographical divisions serve administrative purposes, they may not always align with the collective interests and potential of regions.

Commenting on the report, Senthil Gopinath, CEO of ICCA, said the ICCA team reviewed all the meetings submitted by members, resulting in a report that includes over 10,000 meetings in calendar year 2023.
“Our research team has performed exceptionally in compiling this comprehensive data. It’s a cornerstone for our association, providing invaluable insights that empower our members and enhance our community’s strategic positioning.”

Gopinath highlighted the importance of these rankings, stating, “International meetings and events can bring positive outcomes to all corners of the globe, and ICCA looks forward to continuing its role as a vehicle for change.”
To foster collaboration and enhance the visibility of certain regions on the international stage, the ICCA introduced an alternative ranking system that distinguishes geographical regions from ICCA Chapter Regions. The rankings were based on its 2023 ICCA Business Analytics Country and City Rankings
Sisi hela za kujenga facilities za mikutano makamba anaenda kujenga real estate Kenya na Congo yule dogo sijui anakili au matope
 
Wapi nimesema Arusha inatosha? We unalaumu na kuisimanga Arusha eti maporini huko pwani kuna mji kama Arusha? Ukiacha Dar?? Utalii kufubaa pwani ni kosa la watu wa Arusha?
Mwambieni bimkora apambane
Wapi nimelaumu ? Nimekuambia ufanyiwe promo sehemu nyingine kama pwani , kule zanzibar na huko Arusha kwenu wapi kuna watalii wengi?

Punguza ushamba , bora ukae kimya , kaangalie Mombasa kama unaweza kufanansha na takataka yako .!
 
Wapi nimelaumu ? Nimekuambia ufanyiwe promo sehemu nyingine kama pwani , kule zanzibar na huko Arusha kwenu wapi kuna watalii wengi?

Punguza ushamba , bora ukae kimya , kaangalie Mombasa kama unaweza kufanansha na takataka yako .!
Ulisema Arusha ni maporini sasa ndio ujue watalii wamependa hizo pori wakiwepo mabwana zake waarabu ( Mfalme wa Dubai ana hunting block) Arusha. Pwani tafuteni mbinu ya kuvuta watalii sio kulaumu waliofanikiwa
 
Tunawaambia kila siku Elimu tunayotoa kwa wasomi wetu haikidhi mahitaji ya Dunia ya sasa. Mnajisifia Nimesoma UDOM , UDSM Wakati kichwani hamna kitu
Sasaivi ndio hakuna kitu kabsaa, tunalalamika uzembe na uvuvi ulioko kwenye ofisi za serikali lkn ukiangalia kwa makini ni vijana hawahawa wa 1990 ndio wengi maofisini na ndio wavivu kupindukia.
 
Ulisema Arusha ni maporini sasa ndio ujue watalii wamependa hizo pori wakiwepo mabwana zake waarabu ( Mfalme wa Dubai ana hunting block) Arusha. Pwani tafuteni mbinu ya kuvuta watalii sio kulaumu waliofanikiwa
Kule utalii gani zaidi ya mapori 😛 😛 😛 ...Wakati inapewa hadhi ya utalii ulikuwa wapi ?AU hujui ?
 
Back
Top Bottom