Ni Aibu Kwa Tanzania Kuzidiwa na Uganda, Rwanda na Kenya Kuvutia Utalii wa Mikutano Wakati tuna Utajiri wa Vivutio vya Utalii

Ni Aibu Kwa Tanzania Kuzidiwa na Uganda, Rwanda na Kenya Kuvutia Utalii wa Mikutano Wakati tuna Utajiri wa Vivutio vya Utalii

Fukwe zote hizi coastal regions , mmekomalia utalii wa maporini huko Arusha mtapata wapi ushawishi? ...Srikali ichague mikoa ya pwani kama miwili then itoe promo katika kutambulika kama sehemu za utalii tuanze na pwani kupitia wilaya ya Mafia.
Tatizo lugha na hospitality ya standard za kitalii ni changamoto sana pwani
 
Kwani si kuna tour guide au huku Arusha wadudu ndio wanaongoza watalii ,?bona watu pwani wanafanya kazi kweny kampuni za kitalii .

Namjua Ally Jape ndio mzinzibar na mtanzania anapromote sana watalii tena personally sio kampuni.
Utalii sio tour guides tu,
Watalii hasa wazungu wanataka watu sharp, sasa pwani ukifika hotelin au bar wahudumu ni kama wanalazimishwa kufanya kazi zao.
Watalii wanataka nyama choma nzuri au kitimoto,
Watalii wanataka watu wanaojua Kingereza na lugha nyingine tofauti kwenye vyombo vya umma, mitaani, hotelini n.k
Kaskizini pia ni karibu na viwanja vya ndege vya kimataifa vya KIA na Jomo Kenyatta,Nairobi.
Kuna mambo mengi sana yanayochochea utalii kanda ya Kasazini na kuizidi pwani kwa mbali sana
 
Unaweza kuwa na resources zote ukakosa akili, zipo nchi Ulaya hazina resources zozote lakini ni tajiri na watu wake wanaishi maisha mazuri.

Shida ni akili tu.
Sahihi.
 
Tutasema sana, tutaelekeza sana, SHIDA KUBWA INABAKI NANI UNAYEMSHAURI?..

yapo mengi sana yakufanya kuleta watalii hapa ambayo wala hayahitaji degree/diploma bali akili ndogo tu ya std 7, SHIDA INABAKI NANI WAKUFANYA?
 
Fukwe zote hizi coastal regions , mmekomalia utalii wa maporini huko Arusha mtapata wapi ushawishi? ...Srikali ichague mikoa ya pwani kama miwili then itoe promo katika kutambulika kama sehemu za utalii tuanze na pwani kupitia wilaya ya Mafia.
Mi nashangaa ...sawa utalii wa mapori ni mzuri huko Arusha ...
Lakini hawaoni utalii wa fukwe hasa Mafia ?
Mafia inatakiwa kujengwa kumbi za mikutano ..
Mafia inahitaji kutangazwa sana ..
Mafia inatakiwa uwanja wa kisasa wa ndege ..kisha wataona impact yake
 
Mi nashangaa ...sawa utalii wa mapori ni mzuri huko Arusha ...
Lakini hawaoni utalii wa fukwe hasa Mafia ?
Mafia inatakiwa kujengwa kumbi za mikutano ..
Mafia inahitaji kutangazwa sana ..
Mafia inatakiwa uwanja wa kisasa wa ndege ..kisha wataona impact yake
Huku Arusha ni sehemu wamawekeza wana share kweny mahoteli , hata mikutano ni huko yaani balaa .
 
Fukwe zote hizi coastal regions , mmekomalia utalii wa maporini huko Arusha mtapata wapi ushawishi? ...Srikali ichague mikoa ya pwani kama miwili then itoe promo katika kutambulika kama sehemu za utalii tuanze na pwani kupitia wilaya ya Mafia.
Kwa akili yako hiyo kama ya samaki chewa unadhan utalii ni kulalia mchanga pekee kma mamba??
Watu wenye suruali fupi na makobazi akili zao fupi pia
 
Kwani si kuna tour guide au huku Arusha wadudu ndio wanaongoza watalii ,?bona watu pwani wanafanya kazi kweny kampuni za kitalii .

Namjua Ally Jape ndio mzinzibar na mtanzania anapromote sana watalii tena personally sio kampuni.
Kwani mmezuiwa ku promote utalii?? Arusha ina kosa gani?? Mmekalia uvivu na kupiga soka vibarazani
 
Kwa akili yako hiyo kama ya samaki chewa unadhan utalii ni kulalia mchanga pekee kma mamba??
Watu wenye suruali fupi na makobazi akili zao fupi pia
Sasa we kashfa za nn ? Akili ya kula mauchafu ya nguruwe ndio maana unaropoka , hapo umekimbia kwenu .
 
Shirikisho la Kimataifa la Biashara ya Utalii wa Mikutano ICCA limezitaja Nchi 4 muhimu Kwa biashara ya Utalii wa Mikutano Barani Afrika ambapo Afrika Kusini inaongoza.

Cha kushangaza Tanzania imeshika imeshika nafasi ya 5 ikizidiwa na Nchi za Rwanda,Uganda na Kenya.

My Take
January Amefuta Mradi wa Kujenga Kumbi kubwa na za Kisasa za Kilimanjaro International Convention Centre-Arusha badala yake ameelekeza Kodi zetu kujenga Magorofa kwenye Nchi za watu Kwa madai kwamba tutaingiza pesa.

Pesa zipi wakati biashara tunaiacha nyumbani? Hatuwezi kuwa Taifa ambalo hatuna consistency Kila mtu anakuja na mipango yake.Tukatae upigaji huu Mpya wa Bwana January.Pia soma Utalii wa Mikutano na Makongamano(MICE): Tanzania yapanda hadi namba 5 Africa kutoka namba 15

=====
The International Congress and Convention Association (ICCA) has released its 2024 ranking for the most popular destination for important meetings in 2023. The ranking, released on May 13, 2024, recognised South Africa as the most popular destination for important meetings in 2023.
South Africa ranked No. 1 destination for important meetings in Africa, Nigeria falls to 14th

According to ICCA’s Africa Geographical Ranking, South Africa emerged as leader, followed by Rwanda, Kenya, Egypt, and Uganda as the top five most popular destinations for important meetings in 2023. The other African countries in the top 10 rankings were Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Ethiopia, Mozambique, and Niger.

Despite being Africa’s largest market by size, Nigeria was ranked the 14th most popular destination for important meetings in 2023. The ICCA noted that while geographical divisions serve administrative purposes, they may not always align with the collective interests and potential of regions.

Commenting on the report, Senthil Gopinath, CEO of ICCA, said the ICCA team reviewed all the meetings submitted by members, resulting in a report that includes over 10,000 meetings in calendar year 2023.
“Our research team has performed exceptionally in compiling this comprehensive data. It’s a cornerstone for our association, providing invaluable insights that empower our members and enhance our community’s strategic positioning.”

Gopinath highlighted the importance of these rankings, stating, “International meetings and events can bring positive outcomes to all corners of the globe, and ICCA looks forward to continuing its role as a vehicle for change.”
To foster collaboration and enhance the visibility of certain regions on the international stage, the ICCA introduced an alternative ranking system that distinguishes geographical regions from ICCA Chapter Regions. The rankings were based on its 2023 ICCA Business Analytics Country and City Rankings
The question ❓ for you, have you been in south Africa and when was that
 
Fukwe zote hizi coastal regions , mmekomalia utalii wa maporini huko Arusha mtapata wapi ushawishi? ...Srikali ichague mikoa ya pwani kama miwili then itoe promo katika kutambulika kama sehemu za utalii tuanze na pwani kupitia wilaya ya Mafia.
Nadhani shida sio vivutio maana tunavyo vingi shida kubwa za msingi.

1- Gharama kubwa kufanya utalii nchini angalia gharama za ma hotel huko Serengeti ni bora kwenda Dubai. Mimi kama mtanzania nikitaka ku book Serengeti wiki na Hotel nitakimbia mwenyewe ni expensive sana kuliko kwenda nje. watalii wengi cost ni factor kubwa kwenye maamuzi yao waende wapi.

2- Efficiency sijui kiswahili fasaha ya hili neno kwenye Immigration au tuseme airport zetu. ukiweka system unachukua dakika chini ya 5 umetoka Airport bila usumbufu watu watakuja tu. Tuangalie nchi kama Malaysia, Dubai unafika hakuna kujaza makaratasi wala nini, unatoa passport hata visa hutoi jina lako liko link na passport unagongewa na sim card unapewa dakika 2 uko nje. Sasa njoo TZ mtalii anafika na furushi la makaratasi utasema anaenda kuomba kazi. Toeni ukiritimba huu wa ki analog.

3- Gharama za usafiri kubwa sana Tz na utalii. package za utalii sio za kiushindani. Wapunguze gharama ili tuvutie watu wengi kuja, gharama ni factor kubwa sana kuvutia na kwanini ziwe kubwa sana? wafanyakazi nchi hii ni cheap sasa zinatoka wapi? au tamaa tu tunaona akija mtalii fursa kumnyonya tu, akiondoka haji tena. tunataka mtu akiondoka anakoenda aisimulie nchi yetu kwa mazuri. Tanzania beautifully, cheap, good facilities, Airport efficiency ni top, ukarimu top.....
 
Nadhani shida sio vivutio maana tunavyo vingi shida kubwa za msingi.

1- Gharama kubwa kufanya utalii nchini angalia gharama za ma hotel huko Serengeti ni bora kwenda Dubai. Mimi kama mtanzania nikitaka ku book Serengeti wiki na Hotel nitakimbia mwenyewe ni expensive sana kuliko kwenda nje. watalii wengi cost ni factor kubwa kwenye maamuzi yao waende wapi.

2- Efficiency sijui kiswahili fasaha ya hili neno kwenye Immigration au tuseme airport zetu. ukiweka system unachukua dakika chini ya 5 umetoka Airport bila usumbufu watu watakuja tu. Tuangalie nchi kama Malaysia, Dubai unafika hakuna kujaza makaratasi wala nini, unatoa passport hata visa hutoi jina lako liko link na passport unagongewa na sim card unapewa dakika 2 uko nje. Sasa njoo TZ mtalii anafika na furushi la makaratasi utasema anaenda kuomba kazi. Toeni ukiritimba huu wa ki analog.

3- Gharama za usafiri kubwa sana Tz na utalii. package za utalii sio za kiushindani. Wapunguze gharama ili tuvutie watu wengi kuja, gharama ni factor kubwa sana kuvutia na kwanini ziwe kubwa sana? wafanyakazi nchi hii ni cheap sasa zinatoka wapi? au tamaa tu tunaona akija mtalii fursa kumnyonya tu, akiondoka haji tena. tunataka mtu akiondoka anakoenda aisimulie nchi yetu kwa mazuri. Tanzania beautifully, cheap, good facilities, Airport efficiency ni top, ukarimu top.....
Well said, Tanzania gharama ni kubwa sana biashara ni watu
 
Back
Top Bottom