Ni aibu kwa TBC kutangaza dawa za kuongeza nguvu za kiume zisizothibitishwa

Ni aibu kwa TBC kutangaza dawa za kuongeza nguvu za kiume zisizothibitishwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii nimeisikia jana tu tena kwa bahati mbaya sana nikiwa kwenye gari na kwa vile kulikuwa na foleni nikaona ni vema nipate matokeo ya mechi kati ya Yanga na Kagera , nilipigwa na butwaa baada ya kukutana na Tangazo la dawa za nguvu za kiume kutoka Kigogo Mbuyuni ! wanaosikiliza matangazo ya mpira kupitia redio hii ni mashahidi .

Kama redio ya Taifa imefikia kutangaza mambo haya basi bila shaka hii nchi imekwisha kuliko tunavyodhani , hakuna wenye viwanda tunavyoambiwa vimeota kama uyoga wanaotangaza bidhaa zao hadi tuanze kuokoteza matangazo ya kiboya kama haya ?
 
Unaanza kusikiliza hiyo redio? Mbona sources ni nyingi sana kupata matokeo mkuu
Hiyo redio ilitufaa miaka hiyo hatukuwa na option, ingawa watu wa mpakani na nchi jirani tulikuwa tunasikiliza redio za majirani zetu.
Ona sasa yaliyokukuta
 
Unaanza kusikiliza hiyo redio? Mbona sources ni nyingi sana kupata matokeo mkuu
Hiyo redio ilitufaa miaka hiyo hatukuwa na option, ingawa watu wa mpakani na nchi jirani tulikuwa tunasikiliza redio za majirani zetu.
Ona sasa yaliyokukuta
Nimeisikiliza kwa bahati mbaya sana mkuu
 
Hii nimeisikia jana tu tena kwa bahati mbaya sana nikiwa kwenye gari na kwa vile kulikuwa na foleni nikaona ni vema nipate matokeo ya mechi kati ya Yanga na Kagera , nilipigwa na butwaa baada ya kukutana na Tangazo la dawa za nguvu za kiume kutoka Kigogo Mbuyuni ! wanaosikiliza matangazo ya mpira kupitia redio hii ni mashahidi .

Kama redio ya Taifa imefikia kutangaza mambo haya basi bila shaka hii nchi imekwisha kuliko tunavyodhani , hakuna wenye viwanda tunavyoambiwa vimeota kama uyoga wanaotangaza bidhaa zao hadi tuanze kuokoteza matangazo ya kiboya kama haya ?
Je imesajiliwa na tfda na kufata protocal zote za kiafya kama ndio hamna shida sababu hayo matatizo kweli yapo kwa watu na watuwanapata shida ....ila kama haijasajiliwa ni kweli tunahali mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom