KERO Ni aibu Mji kama Mkata - Handeni unaokua kwa kasi kukosa maji ya uhakika

KERO Ni aibu Mji kama Mkata - Handeni unaokua kwa kasi kukosa maji ya uhakika

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Gai da seboga

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
515
Reaction score
1,015
Wasalam mabibi na mababu,

Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.

Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.

Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.

Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli?
 
Wasalam mabibi na mababu,

Yani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayar una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana...
Uzushi huu
 
Sasa tatizo huko siyo aweso tatizo la huko ni kwamba mfanyakazi idara ya maji asipomsalimia mmoja ya wazee wa hapo mjiji anajitokeza mzee mmoja anadondosha ushuzi juu ya bomba la maji kwishney maji hayapiti tena hadi muongee nae vizuri
 
Hicho ni Kijiji kilichochangamka sio Mji.
Wasalam mabibi na mababu,

Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.

Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.

Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.

Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli? Na kuna tetesi kuna mwanamke umemzalisha hapo kwahyo unaona ni sawa watu wateseke, nilifikiri hiyo familia yako ya siri hapo ungehamasika haraka. Hili unaliweza embu lipambanie Hom boy


Handeni yote tangu Uhuru hadi leo shida ya Maji ni kubwa kuliko tunavyoweza kelezea hapa.
Handeni mjini pale Chanika tangu Uhuru hadi leo Maji hakuna.
Hata kwenye quest na loji Maji ya kuoga wasiwasi mtupu na chumvi 👌👌
 
Wasalam mabibi na mababu,

Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.

Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.

Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.

Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli? Na kuna tetesi kuna mwanamke umemzalisha hapo kwahyo unaona ni sawa watu wateseke, nilifikiri hiyo familia yako ya siri hapo ungehamasika haraka. Hili unaliweza embu lipambanie Hom boy


Hata vyakula saingine vya migahawa usafi ni mashaka sababu ya shida ya Maji , Yaani chooni ndio usiseme !
 
Wasalam mabibi na mababu,

Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.

Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.

Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.

Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli? Na kuna tetesi kuna mwanamke umemzalisha hapo kwahyo unaona ni sawa watu wateseke, nilifikiri hiyo familia yako ya siri hapo ungehamasika haraka. Hili unaliweza embu lipambanie Hom boy
Nimeona pale Kwambwembwele Vibaoni Chanika wameweka mabomba kana kwamba wanataka kuyatandaza miundombinu ya Maji , Sasa Sijui lini ?
Maana ni muda Sasa umepita tangu yawekwe.

Pia maeneo ya njia ya kutoka Sindeni kwenda Kwamkono nimekuta mabomba kadhaa kama vile ya mradi wa Maji ,
Lakini nayo yamewekwa muda mrefu huku shida ya Maji ikizidi.
Sasa Waziri atuambie na wabunge watuambie
Ni lini utekelezaji wa mradi utafanyika?
 
Wasalam mabibi na mababu,

Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.

Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.

Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.

Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli? Na kuna tetesi kuna mwanamke umemzalisha hapo kwahyo unaona ni sawa watu wateseke, nilifikiri hiyo familia yako ya siri hapo ungehamasika haraka. Hili unaliweza embu lipambanie Hom boy


Maana iwapo vifaa vipo site, gharama zilizo baki maana yake ni uchumbaji na kuyatandaza gharama kubwa ilikuwa kwenye Ununuzi wa vifaa ,
Sasa Kwanini kazi hazifanyiki ?
Wananchi tujulishwe.
 
Wasalam mabibi na mababu,

Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.

Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.

Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.

Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli? Na kuna tetesi kuna mwanamke umemzalisha hapo kwahyo unaona ni sawa watu wateseke, nilifikiri hiyo familia yako ya siri hapo ungehamasika haraka. Hili unaliweza embu lipambanie Hom boy


Wakiweza kufikisha maji Kwamkono na viunga vyake, na vijiji vya jirani,
Halafu watokee kwachaga kwenda hadi kuja kwamkono itakuwa wame cover vijiji vingi walau.
Lakini kazi sio lelemama maana Wilaya kubwa mno na haina Maji hata tone kuanzia makao makuu ya Wilaya yenyewe, fikiria 🤦‍♀️🤔
 
Back
Top Bottom