Pako hovyo hovyo tu ila ndio hivyo nyama iko vizuri.Ni nyama,
Sema jamaa hawajapapatia tu.
Unakuta nyama yenyewe hata chumvi hawaweki Yani ilimradi tu.
Ni eneo zuri la kimkakati lipo njiani accessible lakini hawajapapatia kikazi.
Sehemu yenye uchawi na ushirikina kuendelea huwa si lelemama.
Wasalam mabibi na mababu,
Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.
Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.
Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.
Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli? Na kuna tetesi kuna mwanamke umemzalisha hapo kwahyo unaona ni sawa watu wateseke, nilifikiri hiyo familia yako ya siri hapo ungehamasika haraka. Hili unaliweza embu lipambanie Hom boy
Aisee hupajui Mkata. Kuna jamaa upande mmoja anachoma kuku wa kienyeji balaa. Upande wa pili Kuna mtaalam wa maini.
Duh,panafaa kupitia apoAisee hupajui Mkata. Kuna jamaa upande mmoja anachoma kuku wa kienyeji balaa. Upande wa pili Kuna mtaalam wa maini.
Hapo usiwe na haraka. Pita jioni kigiza kikianza kuingiaDuh,panafaa kupitia apo
Pako hovyo hovyo tu ila ndio hivyo nyama iko vizuri.
Hapo usiwe na haraka. Pita jioni kigiza kikianza kuingia
Mbunge wa Hapo ni wa chama gani na DED ana kazi gani?Wasalam mabibi na mababu,
Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.
Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.
Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.
Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli? Na kuna tetesi kuna mwanamke umemzalisha hapo kwahyo unaona ni sawa watu wateseke, nilifikiri hiyo familia yako ya siri hapo ungehamasika haraka. Hili unaliweza embu lipambanie Hom boy
Mbunge wa Hapo ni wa chama gani na DED ana kazi gani?
Wasalam mabibi na mababu,
Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.
Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.
Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.
Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli?
Imba hivi.....ccm mbere kwa mbereKote ni CCM tangu Uhuru hadi leo lakini hali ndio hiyo tabu kupita maelezo.
Zahanati mbali sana, Shule mbali sana, Maji hakuna.
Kuna jamaa juzi alikuwa anasema anatoka kijiji cha mbali ( mazingara β¦..) ambako hakuna zahanati mwendo wa kufika Kwamkono kuliko na huduma hiyo ni mbali sana ,
Anakwambia anatoka na mtoto mgongoni anaumwa sana kabla ya kufika hospital mgongoni ukisikia kimyaaa ujue Huna mtoto tena πππ
Nilisikitika.
Wa mama wajawazito wanabeba na vitanda wakifika njiani uchungu umechanganya wanaume wanaambiwa hebu tupisheni kwanza, anajifungua kienyeji with high risks kishawanaitwa tena wanaume wa bebe na kitanda kurejea nyumbani kwa mwendo mrefu sana.
Halafu walioko mjini wao ni kazi ya uchawa kusifu na kuabudu tu Viongozi , mimi huwa nawaangalia !
Kun kipind maj yalikuw yanatoka korogwe lkn yalikata tunasikia yalishia komkonga, uko upande wa wami tulickia cjui mrad umefika mbwewe lkn n siasa nyingi tu wananchi wanatumia maji na ngo'mbe kwny vibwawa vya kwa Pala na mbweniMkata wachukue maji wami ni mbali,Kuna mto pangani karibu zaidi
Ktk Halmashauri zna maisha magumu n handen asee, ndiomana mtt akimalza la saba tu n ndoa chaaap apunguze gharam za maisha Nyumbani.Takwimu zinaonesha watoto wengi wakike na wakiume wanashindwa kumaliza masomo sababu ya umbali mrefu sana wa Shule ziliko na ulisema wa huduma za Shule za bweni.
Kwa hiyo mtoto anaona kwenda Shule kusoma ni kama adhabu maana utatembea mwendo mrefu kupita kawaida wakati wa kwenda na kurudi.
Ukitoka nyumbani kama umekula kiporo (usiga) kabla ya kufika Shule sababu ya mwendo kinaisha chote ukifika njaa na mzazi uwezo wa kukupa hata shilingi 100 hana.
Eti umsikilize Mwalimu kutwa nzima na njaa Halafu ukitoka Shule uanze kutembea mwendo mrefu kwa masaa kadhaa hadi ufike nyumbani.
Nani anaweza kuvumilia hali hiyo?
Wakike wanaingia tamaa ya lifti za Bodaboda na kuishia kutiwa mimba na kutelekezwa mazima.
Nyama ipo balaaa ten mbuz utawakimbia, sehem pale panapo park coasta za mbezi, kushoto, kun pale stendi ya tanga ucku hatar, kun njia ya kwend handen mjin, alafu kubwaa kulikooo kun mwamba kafungua mkata highway motel ipo maeneo ya mbweni pale utazikimbiaaa nyamaaMkata Kuna chimbo la nyama kweli pale ,au unachanganya na msata
Hlo bwawa lenyewe halina maji ya kutosha maji yanaachiwa mara moja kwa mwezi, na wenye visima vya mvua wanawapiga watu ndoo ad 700.Kuna bwawa la mbweni linasambaza maji pale mkata changamoto wenye visima wanajaza mavisima yao yakijaa badala ya kuuza 100 ndoo wanauza 400
Maji yamekuwa miradi ya watu
Serikali iliangalie kwa jicho la tatu watumishi wa umma saiv wamejaaa, Halmashauri ya Wilaya ipo hapo, hospital ya wilaya.. Yan n fedheha mji kukosa maji
Wasalam mabibi na mababu,
Yaani huwa nashangaa hii kero ya maji iliyopo Mkata - Handen, yani maji ni shida balaa ukiangalia huu mji tayari una Halmashauri, tayari una hospital ya wilaya Kitendo cha kukosa Maji ya uhakika ni fedheha sana.
Yaani wananchi wa nateseka sana na kukosa Maji, wananchi wanafanya kutumia maji kwenye mifereji na vidimbwi, yan ilo bwawa la idara maji kila siku ni kukauka. Kulikuwa na Mradi maji kutoka korogwe mabomba yake nayo hayatoi ata tone.
Pamoja na kuwa karibu na mto wami lakini bado hali ya maji mkata ni kitendawili kisicho na majibu.
Mheshimiwa Juma Aweso embu jitathimini sana hivi unashindwa kupeleka huduma ya maji mkata kweli?
Kumbe optimism mwanamke?Wakiweza kufikisha maji Kwamkono na viunga vyake, na vijiji vya jirani,
Halafu watokee kwachaga kwenda hadi kuja kwamkono itakuwa wame cover vijiji vingi walau.
Lakini kazi sio lelemama maana Wilaya kubwa mno na haina Maji hata tone kuanzia makao makuu ya Wilaya yenyewe, fikiria π€¦ββοΈπ€
Kumbe optimism mwanamke?