Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tulionya tangu awali na tunaendelea kuonya tena kwamba , mashabiki wajinga wanaoingia uwanjani na Picha ya Rais wakatazwe ,
Hii ni kwa sababu Rais wa Nchi hii hakuwahi kuwa Mwanasoka na wala hakuwahi hata kupiga danadana , na wala sikumbuki siku aliyowahi kuingia uwanjani kushuhudia soka , kama wabeba picha wanazibeba kwa vile Rais ananunua magoli basi wanapaswa kujiuliza kama hela za kununua magoli hayo anazitoa mfukoni mwake au la
Michezo ndio sehemu pekee inayokutanisha watu wenye itikadi tofauti , kuanzia wachezaji , mashabiki na watazamaji , maana usione wachezaji wanachezea Timu ya Taifa basi ukadhani wote ni ccm , sasa kuanza kumpigia debe Mwenyekiti wa CCM kwenye soka ya umma mtachafua hali ya hewa
Jitahidini kushangilia soka bila kuleta siasa za kijinga , Hatutakubali na iko siku kitanuka .
Tabia hii ya Kishamba inaweza kuwa sababu ya kuitia gundu Taifa Stars Kushindwa kufanikiwa .
TUHESHIMIANE .
Hii ni kwa sababu Rais wa Nchi hii hakuwahi kuwa Mwanasoka na wala hakuwahi hata kupiga danadana , na wala sikumbuki siku aliyowahi kuingia uwanjani kushuhudia soka , kama wabeba picha wanazibeba kwa vile Rais ananunua magoli basi wanapaswa kujiuliza kama hela za kununua magoli hayo anazitoa mfukoni mwake au la
Michezo ndio sehemu pekee inayokutanisha watu wenye itikadi tofauti , kuanzia wachezaji , mashabiki na watazamaji , maana usione wachezaji wanachezea Timu ya Taifa basi ukadhani wote ni ccm , sasa kuanza kumpigia debe Mwenyekiti wa CCM kwenye soka ya umma mtachafua hali ya hewa
Jitahidini kushangilia soka bila kuleta siasa za kijinga , Hatutakubali na iko siku kitanuka .
Tabia hii ya Kishamba inaweza kuwa sababu ya kuitia gundu Taifa Stars Kushindwa kufanikiwa .
TUHESHIMIANE .