Ni aibu na ni Ujinga kupeperusha picha ya Rais kwenye uwanja wenye Taa mbovu

Hicho kiuwanja kilifungiwa sijui nani alitoa idhini tena ya kuchezewa mechi..

Of course hapo Wamepata aibu ya kutosha,Taa mbovu Timu imefungwa na mabango yamefichwa.
 
Rais ni wa wote na ndio maana picha yake itabebwa na kila mtu hadi atoke madarakani. Endelea kutumia.
 
Ndo ume comment nini sasa hapa? Yaani ndo akili zako zimeishia hapa? Nilikuaga nakuheshimu ila its official, nakudharau.

Upesi edit jina lako from the boss to the pimbi
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Tabia za kutumia pesa zetu kuwapa watu wanajifurahisha sijapendezwa nayo,
 
hahahahahaaha. aliwaita KICHWA CHA MWENDAWAZIMU hakukosea KABISA..Watanzania mpira hamjui
 
Kweli Aiseeeee !!! Maana taa zimezima kwa uzembe wao halafu picha ya Rais inapepea ! noma kweli yaani !
 
kimba
 
Huo ni unjinga wa kiwango cha lami
 
Ndo ume comment nini sasa hapa? Yaani ndo akili zako zimeishia hapa? Nilikuaga nakuheshimu ila its official, nakudharau.

Upesi edit jina lako from the boss to the pimbi
unamheshimu unamjua?unaheshimu I'D feki! kama unamjua sawa ila kama humjui basi wewe ndio pimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…