Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,591
- 6,114
Jana usiku nilikuwa na jopo la madaktari bingwa waliobobea kwenye masuala ya tafiti hasa lishe ,afya na uzazi.
Miongoni mwa madaktari niliokuwa nao Ni njiwa, Dr. Bujibuji, Mwifwa, Ritz, Mshana Jr, MziziMkavu & Baba Swalehe.
Jopo hili limegundua kuwa wamama huzichoma shingo za kuku na kuwa ngumu, kisha huburudika nazo kwenye kinywa cha pili.
Wito:
Wanaume tukatae dhuluma hii, nyie kuleni kuku sisi tuachieni shingo. Hata kama hatuzili, tutajua pa kuziweka.
Pascal Mayalla tuandalie makala yetu juu ya hili bandiko
Miongoni mwa madaktari niliokuwa nao Ni njiwa, Dr. Bujibuji, Mwifwa, Ritz, Mshana Jr, MziziMkavu & Baba Swalehe.
Jopo hili limegundua kuwa wamama huzichoma shingo za kuku na kuwa ngumu, kisha huburudika nazo kwenye kinywa cha pili.
Wito:
Wanaume tukatae dhuluma hii, nyie kuleni kuku sisi tuachieni shingo. Hata kama hatuzili, tutajua pa kuziweka.
Pascal Mayalla tuandalie makala yetu juu ya hili bandiko