Ni aibu sana kuendelea kukatika kwa maji na umeme kwa kisingizio cha ukame

Ni aibu sana kuendelea kukatika kwa maji na umeme kwa kisingizio cha ukame

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Ni Aibu Sana kuendelea kukatika kwa maji na umeme kwa kisingizio cha ukame. Tuna week ya tatu sasa mvua kubwa zinanyesha kila mahali nchini halafu unashangaa Dar haina maji.

Nimepita mikoani mvua kubwa sana zinaendelea kunyesha lakini umeme unakatwa Tu. Huu ni Ujuha na kiwango kikubwa cha ujinga na wote tuko kimya
 
Ni Aibu Sana kuendelea kukatika kwa maji na umeme kwa kisingizio cha ukame. Tuna week ya tatu sasa mvua kubwa zinanyesha kila mahali nchini halafu unashangaa Dar haina maji.

Nimepita mikoani mvua kubwa sana zinaendelea kunyesha lakini umeme unakatwa Tu. Huu ni Ujuha na kiwango kikubwa cha ujinga na wote tuko kimya
Jamaa wanatengeneza pesa sn kwenye hizi shida
 
Ni Aibu Sana kuendelea kukatika kwa maji na umeme kwa kisingizio cha ukame. Tuna week ya tatu sasa mvua kubwa zinanyesha kila mahali nchini halafu unashangaa Dar haina maji.

Nimepita mikoani mvua kubwa sana zinaendelea kunyesha lakini umeme unakatwa Tu. Huu ni Ujuha na kiwango kikubwa cha ujinga na wote tuko kimya
Narudia kuwaambia na mtamkumbuka Maharage na Makamba.

Hakuna siku umeme utaacha kukatika Nchi hii hata baada ya bwawa la Nyerere kuanza full production mpaka hapo kitu inaitwa load shelling ifanyike.

Miundombinu ni chakavu na Ina uwezo duni across the country.Walipoomba Til.4 wakapewa bil.500 tuu mlidhani ni wajinga si ndio?

Sasa mtasubiria sana umeme usikatike Niko paleee
 
Back
Top Bottom