Ni aibu sana kwa mwanaume 27+ kusherekea kwa vitendo siku yako yakuzaliwa

Ni aibu sana kwa mwanaume 27+ kusherekea kwa vitendo siku yako yakuzaliwa

Yani unakuta limwanaume linanunua keki kabisa, linanunua vikofia vile vya watoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti maandalizi ya birthday yake, wanaume wameisha tanzania.
Kusheherekea ni utoto sana ile unakaa sehemu na marafiki zako,mpenzi wako mnakunywa na kula kimya kimya sio lazima uimbiwe happy bday kama mtoto wa chekechea ni aibu sana kwa wanaume wa tanzania, na haka katabia kakumwagiana maji ndio upuuzi wa hali ya juu, baba jitu zima na mdambi wake tai kubwa unakuta linakimbizana na ndoo[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii aibu sijui hata tuifiche wap.

Niwatakie siku njema ya kuzaliwa

Mshana Jr

hazard cfc
Kidogo Leo umeandika point, naona mawazo ya kuvurugwa yamepungua
 
Hizi sherehe za kuzaliwa siku hizi. Duh noma sana
 
Yani unakuta limwanaume linanunua keki kabisa, linanunua vikofia vile vya watoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti maandalizi ya birthday yake, wanaume wameisha tanzania.
Kusheherekea ni utoto sana ile unakaa sehemu na marafiki zako,mpenzi wako mnakunywa na kula kimya kimya sio lazima uimbiwe happy bday kama mtoto wa chekechea ni aibu sana kwa wanaume wa tanzania, na haka katabia kakumwagiana maji ndio upuuzi wa hali ya juu, baba jitu zima na mdambi wake tai kubwa unakuta linakimbizana na ndoo[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii aibu sijui hata tuifiche wap.

Niwatakie siku njema ya kuzaliwa

Mshana Jr

hazard cfc
Kusherehekea siku ya kuzaliwa ni utoto FULL STOP!
 
Jinga kabisa mwanaume majukumu unaanza kuiga wafanyayo watoto wadogo na wanawake!!! huo muda unaupata wapi. Ndio hao hao wanaokwenda saloon za kike kufanyiwa make up wawe weupe
 
Yani unakuta limwanaume linanunua keki kabisa, linanunua vikofia vile vya watoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti maandalizi ya birthday yake, wanaume wameisha tanzania.
Kusheherekea ni utoto sana ile unakaa sehemu na marafiki zako,mpenzi wako mnakunywa na kula kimya kimya sio lazima uimbiwe happy bday kama mtoto wa chekechea ni aibu sana kwa wanaume wa tanzania, na haka katabia kakumwagiana maji ndio upuuzi wa hali ya juu, baba jitu zima na mdambi wake tai kubwa unakuta linakimbizana na ndoo[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii aibu sijui hata tuifiche wap.

Niwatakie siku njema ya kuzaliwa

Mshana Jr

hazard cfc
Aisee bora umeliona hili. kwa kweli hili jambo linanikera sana. wanaume hii tabia siyo ya kiuanaume kabisa waachieni wanawake wafanye.
 
Kuna ka ukweli fulani hivi...

Ukishafika umri fulani, birthday yako unasheherekea kimya kimya kwa kula, kunywa, kufurahi... ila siyo kwa style ya watoto...


Cc: mahondaw
 
Kuna ka ukweli fulani hivi...

Ukishafika umri fulani, birthday yako unasheherekea kimya kimya kwa kula, kunywa, kufurahi... ila siyo kwa style ya watoto...


Cc: mahondaw

Haha naimagne ndo dume zima limevaa kikofia sipati picha kabisa teh..afu Sisi wanawake ndo tunamind birthday kidizain sio kama men
 
Mwanaume ananunua Keki eti anasheherekea siku ya kuzaliwa na mshumaa na kikofia [emoji23] [emoji23] [emoji23].

Kwani mashoga walianza vipi si nao walianza kununua keki baadae wakanunua KY.
 
Back
Top Bottom