Nitafute sifa JF..??Naona unatafuta sifa pole sana
Sasa huyo ni mwanaume?Mtoa mada uko sahihi asilimia zote. Wanaume wa Dar ndo zao hizo mnakumbuka jinsi ALLY REMTULA alivyowawakilisha kwenye kusherekea birthday zenu?
Anaebisha aingie youtube au google kabisaaa.
Me tooNaunga mkono hoja....
Umenikumbusha mbali hahahahah ndo mana skuiz situmiagi fbEti mshkaji anakublock kabisa kisa haujamuwish happy birthday au haujampost [emoji1]
Duh mkuu mm nina Id moja tu kwanini niwe na id nyingi hivyo nilikuwa sijisikii kuingia Jf ila COMMENT yako imenifanya niandike naomba usinifanye tena niandike chochoteDemiss hizi ID zako unacheza nazo vizuri sana nakupongeza, Hayo mengine watajua wenyewe
Mkuu nilkuwa sijisikii kucomment Jf naomba nikwambie sjawahi kuwa na id zaidi ya Demiss naomba usiniharibie sikuDemiss hizi ID zako unacheza nazo vizuri sana nakupongeza, Hayo mengine watajua wenyewe
Nani akuharibie siku mama mganga njoo tupigane basi, na ID zakoMkuu nilkuwa sijisikii kucomment Jf naomba nikwambie sjawahi kuwa na id zaidi ya Demiss naomba usiniharibie siku