Ni aibu sana kwa mwanaume kushindwa kumiliki gari

Ni aibu sana kwa mwanaume kushindwa kumiliki gari

wengine ni mashoga ..tunabishana nao basi tu ...mwanaume unajiita laki s pesa
 
Gari imekuwa mboo ili kiwe kipimo cha uwanaume!?
 
Sasa wewe ulioandika inaonyesha ni limbukeni wa maisha lakini akili zako hazina tofauti na shoga hivi nyumba na kumsomesha mtoto shule lipi jambo na kununua gari lipi la msingi sasa sikiliza DUNIA kila MTU anaishi anavyotaka ilimradi usivunje sheria mwanaume la msingi ni kuhimudu family na sio kununua gari hivi wewe msela wa kike unaweza kununua gari ukasema nimepata cha kuwachia watoto urithi kwanza kiongozi mwanaume anatakiwa awe na make na sio gari acha ulofa
 
Mwanaume wa dar wanashindwa kuwapanda wanawake wanaleta Mazda zakike hatuna magari ILA tunazimudu family zetu kumbe ndio maana tukija dar mademu wenu wanatuomba to duu kidogo kumbe nyie mwawaza magari basi sisi tunawawaza madem wenu
 
Naona ndo mara yako yakwanza kumiliki gari haya tushajua wamiliki gari hongera
 
Wana jf

Hivi inakuaje mwanaume mzima na akili timamu unashindwa kumiliki hata ka paaso , IST au vitz kila siku unakimbizana na makonda kwenye dala dala? . Siku hizi yard za kuuza magari ziko kila kona hat ukitaka gari kwa mkopo unapata unashindwaje kununua hata gari ya milioni 5 tu?. Wanaume tubadilike kupanda dala dala ni aibu
ushajenga ?
 
Back
Top Bottom