Ni aibu ya mwaka, Mchambuzi wa kombe la dunia TBC adai golikipa wa Argentina anadakia pia timu ya Sevilla

Ni aibu ya mwaka, Mchambuzi wa kombe la dunia TBC adai golikipa wa Argentina anadakia pia timu ya Sevilla

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Huyu ndiye golikipa wa timu ya Taifa ya Argentina ambaye mchambuzi maandazi wa soka TBC alidai anaidakia timu ya Sevilla la liga Hispania.

Ukweli ni kuwa ni golikipa wa Aston Villa EPL UIngereza. Huyu mchambuzi maandazi aliyepewa jukumu la kuchambua soka TBC wakati wa kombe la dunia sijui anawezaje kubeba aibu hiyo. Cha kushangaza wachambuzi wenzake nao hawakugundua kama mwenzao amechapia.

FkSE0aHWAAgIxy2
 
Huyu ndiye golikipa wa timu ya Taifa ya Argentina ambaye mchambuzi maandazi wa soka TBC alidai anaidakia timu ya Sevilla la liga Hispania.

Ukweli ni kuwa ni golikipa wa Aston Villa EPL UIngereza. Huyu mchambuzi maandazi aliyepewa jukumu la kuchambua soka TBC wakati wa kombe la dunia sijui anawezaje kubeba aibu hiyo. Cha kushangaza wachambuzi wenzake nao hawakugundua kama mwenzao amechapia.

FkSE0aHWAAgIxy2
Nani huyo?
 
Huyu ndiye golikipa wa timu ya Taifa ya Argentina ambaye mchambuzi maandazi wa soka TBC alidai anaidakia timu ya Sevilla la liga Hispania.

Ukweli ni kuwa ni golikipa wa Aston Villa EPL UIngereza. Huyu mchambuzi maandazi aliyepewa jukumu la kuchambua soka TBC wakati wa kombe la dunia sijui anawezaje kubeba aibu hiyo. Cha kushangaza wachambuzi wenzake nao hawakugundua kama mwenzao amechapia.

FkSE0aHWAAgIxy2
Anaitwa EMI Martinez

Usimkosoe MTU kirahisi Kwa sababu hata wewe hukumtaja ukijua Kuna keeper Zaid ya mmoja.

Vilevile Aston villa wapo keepers zaidi ya mmoja. Kuna Robin na mwenzie Jed.
 
Anaitwa EMI Martinez

Usimkosoe MTU kirahisi Kwa sababu hata wewe hukumtaja ukijua Kuna keeper Zaid ya mmoja.

Vilevile Aston villa wapo keepers zaidi ya mmoja. Kuna Robin na mwenzie Jed.
Mimi nimeweka picha yake kwa hiyo siwezi kumchanganya na mwingine.
 


Huyo mchambuzi wa kwanza kulia kwako ndiye mchapiaji mkubwa kwenye uchambuzi wake. Alidai golikipa wa algentina anadakia Sevilla, wakati ukweli ni kwamba ni golikipa wa Aston villa ya epl uingereza.
 
Sijui kama hili ni kosa la kuja kuanzishia uzi. Ni wazi amekosea tu kama ambavyo hata wewe ungeweza kukosea unless kama ana tabia ya kufanya makosa ya aina hii
Ila utambue kuwa kosa kama hilo kwenye media inayotazamwa ulimwenguni kote ni aibu si kwake tu bali kwa Taifa zima!! Inaonesha hakuna vetting ya kutosha kwenye uchaguzi wa wachambuzi kwenye tukio kubwa kama kombe la dunia!!
 
Anaitwa EMI Martinez

Usimkosoe MTU kirahisi Kwa sababu hata wewe hukumtaja ukijua Kuna keeper Zaid ya mmoja.

Vilevile Aston villa wapo keepers zaidi ya mmoja. Kuna Robin na mwenzie Jed.
Mimi nimeweka picha kabisa. Lakini kama unataka jina lake Emiliano Martinez. Je una hoja nyingine?
 
Ila utambue kuwa kosa kama hilo kwenye media inayotazamwa ulimwenguni kote ni aibu si kwake tu bali kwa Taifa zima!! Inaonesha hakuna vetting ya kutosha kwenye uchaguzi wa wachambuzi kwenye tukio kubwa kama kombe la dunia!!
Mkuu unayakuza sana haya mambo. Yaani mtu kukosea jina la timu anayochezea mchezaji ndo iwe aibu ya Tanzania nzima kweli? Aibu kwa nani? Huyo mtangazaji ana hadhi gani mpaka awe aibu kwa taifa zima? Mbona ni kawaida kwa watangazaji tena wa vyombo vikubwa tu kufanya makosa ya aina hii na baadaye kuomba radhi na kusahihisha makosa yao?

Am I missing something?
 
Daah hata mie nilimsikia, tatizo aliongea uongo mwingi..alisema ni mchezaji wa sevilla pia aliisaidia sevilla kufika robo fainal europa kwa kusave mkwaju wa penalty wa jiminez wa wolves mara pia kwenye la liga yupo kweny top four ya magolikipa…Duuu jamaa kapuyangaa huyoo..hawa ndo wanajazaga answer sheet afu marks zero..
 
Back
Top Bottom